Uchaguzi 2020 Mgombea wa Urais wa Tanzania, Tundu Lissu afungiwa na NEC kufanya Kampeni siku 7

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia kufanya kampeni Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kwa siku saba kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi...
Mbona sielewi Mambo aya ,japo sijui sheria hivi mahakama inaweza mfunga mtu bila kujieleza?
Tume.

Kwa ushauri tu Basi muhengueni kabisa ila nafsi zenu labda ziwe Safi ,au sitisha uchaguzi ,mbona tume Kama vile mnawatia watz katika majaribu yasiyo ya msingi,lengo lenu kwa tz hii ni lipi?
 
Mkuu wewe ni hatari yani

wewe ni mfanyabiashara
wewe ni mtumishi wa umma
wewe ni mwanachuo
wewe unasota mtaani
wewe umetumbuliwa na kuonewa
wewe mstaafu hujalipwa mafao
wewe ni mwananchi uliebomolewa nyumba
wewe ni "nk"

zote hizo ni title zako mkuu? kweli wewe unamuhitaji Tundu Lissu.
amenisemea mm na wengine wasiopenda kuandika.
 
Lissu atatoa majibu ya ujeuri na kejeri tu, hana jibu la maana na atafanya hayo kama mwendelezo wa mkakati wa kuleta fujo na uasi kama wanavyo elekezwa na Asmsterdam and his GANG wanaotaka kuendesha GANGSTER POLITICS hapa nchini ili kuleta fujo. Ila kitu cha uhakika ni kwamba kikiwaka hata huyo Lissu HATOKI! hILO AWE NA UHAKIKA NALO NA Amsterdam hatakuwepo kumsaidi. Hawaijui nchi hii!?

Mbona alivyomwita yule mungu mtu dikteta uchwara alitoka.

Wamejiingiza wenyewe kibra,Lisu anawamaliza mapema tu pale mahakamani.

Lisu unamsikiaga tu kumbe,subiria uone moto.ataendelea na kampeni kama kawa.mkimkamata ndio mnajipeleka wenyewe kwenye sheria sasa tuanze kujadili vifungu hapo sasa ndio Lisu atawamaliza mtabaki midomo wazi.
 
Na asipojirekebisha anafutwa kabisa kwenye uchaguzi,Lissu asijiropokee hovyo akahisi labda serikali haipo au inamuogopa wala asijifanganye.
Morgan Tshivangirai alikuwa kama Lissu lakini mwisho wa siku alipigwa spana na kaiacha Zimbabwe hiyo inasonga chini ya Zanupf.
Na aliyempiga spana hajalala mauti?
 
NEC haijafungua malalamiko juu ya Lisu ni NRA na vyama vingine vya siasa Sasa mpaka hapo tuiache NEC iendelee na majukumu mengine ya kufanikisha uchaguzi mkuu Lisu akapambane na kamati ya maadili kwa sababu yeye mwenyewe alisaini na kutoa tamko la kuheshimu hayo maadili Sasa ameamua kuzivunja makusudi hapo asisukumie lawama NEC akapambane na hali yake tuone Kama Robert Amsterdam atamsaidia
Kukosa kwa akili kwa CCM, NEC na watu wao ndo karata turufu kwa Tundu Antiphas Lissu mwaka huu!!
 
Hapo hakuna tume ni genge la CCM tu! Tatizo elimu ya bongo inawajenga watoto tangu wadogo kuwa upinzani ni vurugu ,upinganji, uvunjaji sheria ila laiti wangekuja huku nchi za wengine wangeona namna upinzani ulivyoleta mabadiliko katika nchi! Haiwezekani miaka 60 watu ni wale wale halafu useme kutakua na akili mpya! Nkt
 
Mkuu wewe ni hatari yani

wewe ni mfanyabiashara
wewe ni mtumishi wa umma
wewe ni mwanachuo
wewe unasota mtaani
wewe umetumbuliwa na kuonewa
wewe mstaafu hujalipwa mafao
wewe ni mwananchi uliebomolewa nyumba
wewe ni "nk"

zote hizo ni title zako mkuu? kweli wewe unamuhitaji Tundu Lissu.
ndiyo mimi ndiye!
 
Mbona alivyomwita yule mungu mtu dikteta uchwara alitoka.

Wamejiingiza wenyewe kibra,Lisu anawamaliza mapema tu pale mahakamani.

Lisu unamsikiaga tu kumbe,subiria uone moto.ataendelea na kampeni kama kawa.mkimkamata ndio mnajipeleka wenyewe kwenye sheria sasa tuanze kujadili vifungu hapo sasa ndio Lisu atawamaliza mtabaki midomo wazi.
Nimekupa "Thanks" kwa uongo na kuwa kama kipaza sauti kama wengine humu cha Lissu. Tungoje tuone this time kama atatoka!
 
Kwa jinsi Zimbabwe maisha yalivyo magumu, ni juha tu kama ww anaweza kuandika huu utoto hapa jukwaani. Kwa taarifa yako, hata yale mashamba waliyopewa wazalendo uchwara Zimbabwe yanarudishwa kwa wazungu.
Hapa Tanzania akuna shamba la mzungu lililochukuliwa na serikali. mada yangu sio mashamba,nachosema mimi nyinyi mnahisi mabeberu watawasaidia endapo mtavunja sheria za nchi yetu kama walivyomsaidia Morgan wa Zimbabwe.

My friend sahau kabisa, hii ni Tanzania na Rais ni JPM mnapigwa spana na mabeberu wapo wanaona.
 
*Wito wa dharura, Mkutano na Waandishi wa Habari*

Chief, habari za muda huu?

Naomba kukutaarifu kuwa Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mhe. Tundu Lissu, atazungumza na vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa, nyumbani kwake...
Hakuna kulala, Mungu mbariki TAL
 
Lissu atatoa majibu ya ujeuri na kejeri tu, hana jibu la maana na atafanya hayo kama mwendelezo wa mkakati wa kuleta fujo na uasi kama wanavyo elekezwa na Asmsterdam and his GANG wanaotaka kuendesha GANGSTER POLITICS hapa nchini ili kuleta fujo. Ila kitu cha uhakika ni kwamba kikiwaka hata huyo Lissu HATOKI! hILO AWE NA UHAKIKA NALO NA Amsterdam hatakuwepo kumsaidi. Hawaijui nchi hii!?
Mnazidi kuwapa ushahidi Marekani. Subirini Muone consequences zake .

Yaani mwaka huu lazima Tundu Lissu awachanganye hadi mvue nguo!! Dadekiiii 😂😂
 
Back
Top Bottom