Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,125
- 8,232
Watanzania wanamuhitaji Tundu Lissu zaidi Yeye anavyotuhitaji.
Sasa ndo utaamini kuwa nyie CCM ndo wapuuziTeh teh, mpuuzi mmoja hana mamlaka ya kuwafanya watanzania wote wapuuzi
Unasemaaaaa??? Mtajua hamjuu mwaka huuHamna chochote hao wazungu wake wenyewe wameufyata kimya.
Kaa hapo na woga wako, sisi ni nchi huru na kama ni kufa kwa nchi yetu tutakufa hapa hapa kama alivyofanya Sadaam Husein, Gaddafi na Lumumba to name a few! We ngoja tu!Mnazidi kuwapa ushahidi Marekani. Subirini Muone consequences zake .
Yaani mwaka huu lazima Tundu Lissu awachanganye hadi mvue nguo!! Dadekiiii 😂😂
Kwani Mnangagwa ni wa chama gani bro? TuelimisheWote hawapo ila Zimbabwe ipo tena chini ya Zanupf.
Nafasi yake imeshikwa na Ermason Mnangagwa chini ya Zanupf,haya nambie wewe Tshivangirai nafasi yake imerithiwa na nani?Mugabe Yuko wapi?
Ikithibitika kuwa wito umepokelewa na mlalamikiwa akadharau kuitikia wito, mahakama huwa inaendelea na kesi kwa kusikiliza upande mmoja na kutoa hukumu.Mbona sielewi Mambo aya ,japo sijui sheria hivi mahakama inaweza mfunga mtu bila kujieleza???
Tume
Kwa ushauri tu Basi muhengueni kabisa ila nafsi zenu labda ziwe Safi ,au sitisha uchaguzi ,mbona tume Kama vile mnawatia watz katika majaribu yasiyo ya msingi,lengo lenu kwa tz hii ni lipi?
Huyu jamaa hataelewa, badala ya kufanya kampeni kama mgombea, atafanya kampeni kama Makamu Mwenyekiti wa CDM , hapo CHACHAAAADuuh...yule jamaa ataelewa kweli????embu tuone
Utakufa wewe na Ccm yako kilaza mkubwaKaa hapo na woga wako, sisi ni nchi huru na kama ni kufa kwa nchi yetu tutakufa hapa hapa kama alivyofanya Sadaam Husein, Gaddafi na Lumumba to name a few! We ngoja tu!
NO! NO! NO! Lissu anamuhitaji sana Amsterdam kuliko sisi! Na sisi hatumhitaji Lissu kwa lolote lile, TANZANIA IS GREAT THAN LISSU!Watanzania wanamuhitaji Tundu Lissu zaidi Yeye anavyotuhitaji.
Hatimaye mashamba yaliyopewa wagombea Uhuru yanarudishwa kwa wazungu.Nani amefeli hapo?Nafasi yake imeshikwa na Ermason Mnangagwa chini ya Zanupf,haya nambie wewe Tshivangirai nafasi yake imerithiwa na nani?
Toa maoni yako usitoe maoni ya watanzania. Sisi watanzania sio Wajinga, Tunamuhitaji Lissu atukomboe mikononi mwa wakoloni weusiNO! NO! NO! Lissu anamuhitaji sana Amsterdam kuliko sisi! Na sisi hatumhitaji Lissu kwa lolote lile, TANZANIA IS GREAT THAN LISSU!
Hii ni HOJA au KIROJA? Au KIOJA?Utakufa wewe na Ccm yako kilaza mkubwa