HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,733
- 5,553
Itakuwaje kama Lisu ataamua kuendelea na kampeni kwa kupuuza tishio la Tume? Nafikiri ifike mahali hawa watu wapime madhara yatakayotokea baada ya kukurupuka kumridhisha mtu mmoja.
Lissu anajua anachokifanya na wakiingia kichwakichwa wameuvuruga uchaguzi wote na kazi ya kuiweka nchi pamoja itawachukua muda.
Lissu anajua anachokifanya na wakiingia kichwakichwa wameuvuruga uchaguzi wote na kazi ya kuiweka nchi pamoja itawachukua muda.