Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,196
- 12,379
inasemekana katika kamati ya maadili kuna vyama vitano na vitatu vilipinga LIssu kufungiwa na vingine 12 vikaunga mkono.Huenda hivi vitatu ni ACT na CDM na NLD.Swali je hivi vyama vingine 13 havijakatwa na kufantiwa hujuma kama inavyofanyiwa CDM na watu wa NEC?