Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,819
- 9,171
Hata ukusanye Maoni milioni tambua Makonda aka Bashite hawezi kupitishwa kugombea Ubunge wa Kigamboni.Jamaa uko vizuri kwenye propaganda, Wewe mwenyewe unajua fika huyo jamaa hawezi kuwa Rais leo, kesho au keshokutwa unachojaribu kufanya ni kujipa matumaini hewa.