Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Huu uzi ni kwa watu wenye akili na wanao jitambua siyo kwenu nyinyi "mataga" mnao shibishwa na Chakubanga hapo lumumbaRudia tena hoja zako hazina mashiko
Huu uzi ni kwa watu wenye akili na wanao jitambua siyo kwenu nyinyi "mataga" mnao shibishwa na Chakubanga hapo lumumbaRudia tena hoja zako hazina mashiko
SawaLissu Siyo Lisu
Tusiangalie itikadi zetu, tujiunge kwa pamoja kumsaidia kamanda Lissu tumpe Nchi ipige spana . Tupate nchi yenye mifumo mizuri ya sheria hata ikitokea wewe unakua Rais utaweza kutuongoza bila shida .Rudia tena hoja zako hazina mashiko
Lema anafikiri watu wote ni majambazi kama yeyeLema ndiye aliyeongoza zoezi la kuhakiki forms kutoka NEC kuona kama ndio zenyewe na zimetimia.
We kijana ulijiungaje na kikundi cha buku 7 , mbona una kumbukumbu nzuri namna hii ?Wale wafuasi wake milioni 80 aliowapata baada ya kuhojiwa hardtalk wako kwenye page yake ya mtandao gani?
Twiter au face book au instagram
Ni yeye the miracle that walk nikimuona Lissu akiwa hai nalia kwa Furaha na kumshukuru Mungu maana alipopigwa risasi nililia sana kwa uchungu nilienda kanisani ilikuwa Siku ya kuabudu ekarist nikamwambia Yesu wa ekarist naomba uponyaji wa Mtumishi wako mtetezi mlipe sawa sawa na Fadhili zako Fanya uponyaji Namshukuru sana Mungu Lissu yuko haiKutoka maeneo mbalimbali kwenye viunga vya mji wa Dodoma, Tundu Lissu leo anachukua Fomu ya Urais...
Uongoo kabisa wandishi wahabari wakp huru aisee acha uongo.ila tulikuwa tunajua ajira kwa wadogo zetu zilitolewa, mil 50 kila Kijiji zilitolewa, mishahara na madaraja kwa wafanyakazi viliongezeka, wakulima wakorosho walisaidiwa vyema na serekali, vyombo vya habari vimekuwa huru Sana awamu hii, ata watekaji wauaji awamu hii imepambana nao Sana. JPM BABA LAO
Wishful thinking. Imani bila actions ni ubatiri. Doing the same thing every election na kutegemea matokeo tofauti sio matumizi sahihi ya rasilimali za kichwaniMungu atawaduwaza wachakachuaji wezi wa kura wa CCM watasahaui kuiba kura...
Mkuu 1 bilion ni watu wa duniani waliomfuatilia Lissu
India na china zinaongoza kwa idadi ya watu duniani, demographic yao inaelekeana wana watu takribani 1.32b, sasa kwa mfano huo anataka atuambie lisu anafuatiliwa na taifa lote la china au india, sina maana kwamba wote hao wapo sehemu moja, kwa kitu gani alichonacho lisu au kwa ushawishi gani na ataifanyia nini dunia mbali na Tanzania hadi afuatiliwe na watu wote hao..
Na mtetezi wake juha ChakubangaMzidi kumtoa michozi TID
Uchaguzi 2020 ni YuleeeeeMshinde njaa ama?
Jibu swali
Viwanda vina ukubwa pia, vidogo, vya kati na vikubwa lazima kuwa wazi nia aina gani ya viwanda. Lakini vipo kweli vya vigae, mabati , nondo , vya matofali , furniture, vya maji kama uhuru peak nk.Mkuu katika vitu Magufuli amefanikiwa ndani ya hii miaka mitano, ni kutengeneza wanafiki, waoga na wajinga wengi. Na yote haya ni kwasababu anajenga reli na bwawa la umeme.
Viwanda vina ukubwa pia, vidogo, vya kati na vikubwa lazima kuwa wazi nia aina gani ya viwanda. Lakini vipo kweli vya vigae, mabati , nondo , vya matofali , furniture, vya maji kama uhuru peak nk.
Jibu swali
Makamanda mpo?