Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,703
- 5,477
Wadao wa simba na yanga mnasemaje? ๐๐
Ni muigizaji huyo wa Bongo movies.Mbona huyu ni jamaa tu mlevi wa mtaani namjua vizuri๐๐๐ Leo kawa mganga
uganga wa mchongo
Atuondolee wazimu wake hapa. Simba na Yanga zote zinakwenda nusu fainali.
Sasa wewe kucha kutwa humu kwenye nyuzi za Simba na Yanga unatafuta nini kama sio unafuatilia habari na comment za Simba na Yanga? Kwanini usitulie ufanye shughuli zako uache wanaopoteza muda? Yaani wewe ndio unaongoza kwa kurukwa na akili ila siku zote chizi hajioni ila anaona wenzie ndio machizi.Kitu nilichokigundua ni Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.
KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....
MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.
MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
We jamaa watu wanakupuuza ila unaongea ukweliKitu nilichokigundua ni Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.
KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....
MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.
MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Huyu Jamaa anaishi pale kwenye nyumba mbovu karibu na uwanja unaojengwa wa Kaunda๐ธ๐ธ๐ธ๐ธ๐ธMbona huyu ni jamaa tu mlevi wa mtaani namjua vizuri๐๐๐ Leo kawa mganga
Aisee km hajui hata kuongea ndio itakuwa kujua utabiri๐คฃ๐๐๐๐
Kama alivyosema huyu jamaaKitu nilichokigundua ni Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.
KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....
MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.
MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Watanzania kumbe mnajijua kuwa ni vichaaa eeh