Zouzoutz
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 698
- 877
Huu si utabiri wala nasibu.
Kwa Sasa Simba ashapoteza "defence merchanisms" zote alizokuwa anajikingia dhidi ya mashambulizi ya Yanga
Kichaka cha "sisi wa kimataifa"....fyekelewa mbali
Kichaka cha huku kwa wanaume...fyekelewa mbali
Kichaka cha robo fainali...fyekelewa mbali
Hivyo vimebakiwa vichaka viwili tu,nusu fainali na rank za CAF,Simba akiwa na point 39 na Yanga akiwa na 31
Iwapo Yanga atapiita hatua hii huku Simba akigotea hapo hapo,basi Simba atakuwa "keshavuliwa ubingwa" na Yanga kwa rank maana Yanga atafikisha point 46
Simba kwa Sasa anacheza Ili kuhakikisha Yanga ampiti kimataifa,
Tena nashukuru CAF kwa kuiweka mechi ya Yanga saa tatu usiku huku ya Simba ikiwa saa tano tarehe 5 Ijumaa hii
Hivyo Yanga ataanza na Simba afuate baadae
Simba kwa Sasa anacheza mpira ila macho yake yapo kwa Yanga kwa asilimia mia
Ndo maana mitaani na mitandaoni Simba wanautumia muda wao mwingi kumfuatilia na kumjadili Yanga
Kwanini?
Kwakuwa anaenda kuiangusha himaya ya Simba ya kufikirika na ile ndogo ya kihalisia
Yanga akifuzu wa kwanza itakuwa na perfect motivation ya Simba kumchapa Al Ahyl kwake
Na Al Ahyl anaomba Mamelodi amtoe Yanga Ili Simba akose morali ya kupambana
Kwani Simba mpaka Sasa ana mentali ya TUKOSE WOTE.
Kwani Simba akiulizwa leo kipi bora kati ya nyie mapacha wawili kwenda nusu na Yanga kwenda peke yake Simba bila shaka watasema TUKOSE WOTE
NB:
Iwapo Simba atafuzu pamoja na Yanga bila kupepesa macho basi fainali ya mwaka huu itapigwa hapa hapa Bongo kati ya Simba na Yanga
Inshallah na ikawe kwa mustakabali mwema wa mpira wetu
Tukutane fainali
Kwa Sasa Simba ashapoteza "defence merchanisms" zote alizokuwa anajikingia dhidi ya mashambulizi ya Yanga
Kichaka cha "sisi wa kimataifa"....fyekelewa mbali
Kichaka cha huku kwa wanaume...fyekelewa mbali
Kichaka cha robo fainali...fyekelewa mbali
Hivyo vimebakiwa vichaka viwili tu,nusu fainali na rank za CAF,Simba akiwa na point 39 na Yanga akiwa na 31
Iwapo Yanga atapiita hatua hii huku Simba akigotea hapo hapo,basi Simba atakuwa "keshavuliwa ubingwa" na Yanga kwa rank maana Yanga atafikisha point 46
Simba kwa Sasa anacheza Ili kuhakikisha Yanga ampiti kimataifa,
Tena nashukuru CAF kwa kuiweka mechi ya Yanga saa tatu usiku huku ya Simba ikiwa saa tano tarehe 5 Ijumaa hii
Hivyo Yanga ataanza na Simba afuate baadae
Simba kwa Sasa anacheza mpira ila macho yake yapo kwa Yanga kwa asilimia mia
Ndo maana mitaani na mitandaoni Simba wanautumia muda wao mwingi kumfuatilia na kumjadili Yanga
Kwanini?
Kwakuwa anaenda kuiangusha himaya ya Simba ya kufikirika na ile ndogo ya kihalisia
Yanga akifuzu wa kwanza itakuwa na perfect motivation ya Simba kumchapa Al Ahyl kwake
Na Al Ahyl anaomba Mamelodi amtoe Yanga Ili Simba akose morali ya kupambana
Kwani Simba mpaka Sasa ana mentali ya TUKOSE WOTE.
Kwani Simba akiulizwa leo kipi bora kati ya nyie mapacha wawili kwenda nusu na Yanga kwenda peke yake Simba bila shaka watasema TUKOSE WOTE
NB:
Iwapo Simba atafuzu pamoja na Yanga bila kupepesa macho basi fainali ya mwaka huu itapigwa hapa hapa Bongo kati ya Simba na Yanga
Inshallah na ikawe kwa mustakabali mwema wa mpira wetu
Tukutane fainali