Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Hali hiyo imeanza miezi 6 iliyopita? Zama za propaganda zimekwenda na Mwendazake,data hizo ni sahihi na hazijapikwa kama alivyokuwa anafanya yule mtu wenu..Huu Uchumi wa kudanganyana kipika Data wakati Wananchi wanashindia miguu ya Kuku.
Wewe nenda ha Iramba tu ukaone Binadamu wanaishia kula Punda na Vinyamapori vingine Uchumi gani huo.
Mwigulu aonyeshwe Mlango ili hii Nchi inusurike.
Kuharibu ni rahisi kujenga ni maumivu,mama anajenga haiwezekani ndani ya miezi 6 uchumi ukawa vizuri.
Vipi hata hizi bado unabisha? 👇