Hiyo 2025 ni mbali sana,kwa akili yako mbovu unadhani Hali itaendelea kuwa worse? Mama anakabili madhara ya upuuzi wa Jiwe but by 2023 uchumi utatengamaa
So KWa akili yako nyembamba , unafiki Kuna jipya, alafu msikandie mwendazake walikua water na Kama ni kuaribu waliaribu WOTE, Sasa unategemea kipi kipya, alisema viatu vya mwendazake havimtoshi,

Màana yake KWa yale yote wamefanya nae akiwa makamo ya we mazuri au mabaya speed yake haifiki ya awam ya tano , japo anajitaidi kuitafuta speed iyo, KWa màana nyingine husitegemee jipya ,
 
So KWa akili yako nyembamba , unafiki Kuna jipya, alafu msikandie mwendazake walikua water na Kama ni kuaribu waliaribu WOTE, Sasa unategemea kipi kipya, alisema viatu vya mwendazake havimtoshi,

Màana yake KWa yale yote wamefanya nae akiwa makamo ya we mazuri au mabaya speed yake haifiki ya awam ya tano , japo anajitaidi kuitafuta speed iyo, KWa màana nyingine husitegemee jipya ,
Ukiona Tzn Hali ni mbaya hamia kwingine ukale maisha,chagua Kati ya hizi nchi hapa 👇

Screenshot_20211022-185621.png


Screenshot_20211022-185717.png
 
Kipindi cha magufuli kuna waziri yyte aliekua na power ya kufanya/kuamua jambo yy mwnyw?

Magufuli yy alikua ndo raisi, waziri,IGP,
Sawa ,ila nafikili walikua wanafurahia kinachoendelea na walikua nae bega KWa bega ,Ndo màana KILA siku ilikua kusifia , utasikia Serikali ya Rais Maghufuli haitaki Ili, wengine walimuita Mungu, Mtume n.k ,leo KWa vipi wanaweza jitenganisha na baya au zuri na kuanza laum Kama sio unafiki

Mbona hatukuona yeyote akijiuzulu ,au kukataa uteuzi?

Narudia hutoweza tenganisha mabaya ya mwendazake na WOTE waliokua nae katika Serikali moja, Kama waliaribu waliaribu WOTE ,asitwishwe mzigo peke yake kisa hayupo,WOTE mliofanya nae KAZI katika Serikali ya awam ya tano mnahusika KWa mazuri na mabaya yote
 
Madhara ya utawala wa mwenda zake madhara ndiyo yanaonekana sasa hivi...

-Nafanya kazi kariakoo kwenye hardware vitu vimepanda bei sana..

mfano kitu kilicho kuwa kinauzwa elfu 50 sasa hivi ni laki moja na 60..

Uchumi uliharibiwa sana.. Yale maduka yaliyokuwa yakifungwa enzi za mwenda zake madhara yake ndiyo haya
We ni jinga Sana, JPM alidhibiti mfumuko wa bei wakati wake, huyu anawachekea wafanyabiashara wanajipangia bei watakavyo.
 
Ukiona Tzn Hali ni mbaya hamia kwingine ukale maisha,chagua Kati ya hizi nchi hapa 👇

View attachment 2018214

View attachment 2018215
Wewe una matatizo flani , hauko sawa Kwamba matatizo kipimo chake ni kukimbia, Tz yetu WOTE hatukimbii ila ni lazima na sio ombi viongonzi ambao tumewapa mamlaka Kama wananchi kutuongoza kutimiza wajibu wao kwetu sie,

Wao Sasa Ndo wanatakiwa kujipima Kwamba je wanatimiza wajibu , hawatimizi wakae pembeni ,waje wengine, sio Mie hamia nchi nyingine
 
Wewe una matatizo flani , hauko sawa Kwamba matatizo kipimo chake ni kukimbia, Tz yetu WOTE hatukimbii ila ni lazima na sio ombi viongonzi ambao tumewapa mamlaka Kama wananchi kutuongoza kutimiza wajibu wao kwetu sie,

Wao Sasa Ndo wanatakiwa kujipima Kwamba je wanatimiza wajibu , hawatimizi wakae pembeni ,waje wengine, sio Mie hamia nchi nyingine
Sijakwambia ukimbie usinilishe maneno yako ya kipumbavu, nimekwambia hamia nchi tajwa hapo juu ukawekeze Hali ikiwa nzuri Tzn utarudi ila kama huwezi kwenda funga Domo lako maana Tzn hatuna tatizo unalozusha.
 
Unashangaza ndugu,tafsiri ya kukua uchumi ni pamoja na bidhaa kupata bei..

Harafu msipende kuleta tafsiri za kijinga kwenye neno inflation..

Mwisho naomba kujuzwa ikiwa bei za 2019 zilikuwa sawa na za 2020?
Usipende kurukaruka ,Njoo na hoja zenye mashiko utueleweshe, unajifanya Unajua wakati upande mwingine bado unauliza maswali? leta hoja , Yani vitu vipande Mara dufu kisa bei ya 2019 haikua sawa 2020, hata Kama haikua sawa je nikatika kiwango tunachokiona 2021 linganisha 2020? Haiwezi shusha vitu ukaeleweka kaa kimia
 
Usipende kurukaruka ,Njoo na hoja zenye mashiko utueleweshe, unajifanya Unajua wakati upande mwingine bado unauliza maswali? leta hoja , Yani vitu vipande Mara dufu kisa bei ya 2019 haikua sawa 2020, hata Kama haikua sawa je nikatika kiwango tunachokiona 2021 linganisha 2020? Haiwezi shusha vitu ukaeleweka kaa kimia
Unajua maana ya maradufu? Maradufu ni kwa figures za nchi nilizokuwekea hapo juu.

Pili UHAI wa uchumi ni bei kupanda(inflation) kwa reasonable rates kama ya kwetu iko kwenye 4% na hata ingeendelea kupanda hata kufika 8% still ni viwango vizuri kwa Nchi kama hizi zetu maskini ..

Ukiona bei ziko stagnant ujue uchumi unaelekea shimoni ndio maana kwa kipindi chote cha Mwendazake ulichumi ulidumaa..

Enzi za JK inflation ilikuwa unacheza Kati ya 4-5% na biashara zilikuwa zinatoka Sana ndio tunaelekea sasa.Maumivu ya saizi ni kwa vile tulikotoka hatukuwa na extra income au purchasing power ilianguka Sana so somehow is biting,these are just side effects..

But baada ya mwaka au miaka 2 ijayo utasahau haya maumivu utakapokuwa unaona kila unachouza kinakupa pesa tena kwa wakati..

Next year kuna ongezeko la ajira mpya kwa maelfu na Serikali itaongeza salary Ili kuongeza disposable income kwa watu hatimaye watakuwa wananunua kwa hiyo pesa itakufikia na utasahau hizi maumivu.Unalia Lia ni kwa vile unakuta kwenye goli lako hakuingizi pesa Ili ku match na kasi ya kutoka.
 
SSH alifeli kidato Cha nne,Kisha akaungaunga na kuwa sekretari katika ofisi ya umma,hivyo uwezo wake katika jukumu kubwa la nchi Ni mdogo Sana,yeye kila Siku anashinda barabarani huku ya nyumbani akipashwa habari Kama mpita njia.Huyu Hana uchungu wowote na Taifa letu,mpaka tunafika 2023 Taifa litakuwa halina tofauti na Zimbabwe ya Mugabe.

Leo mvua nchini Ni pungufu lakini bado Bibi wa shungi anashindwa kuzuia usafirishaji wa chakula nje ya nchi.

Hiki chama hatuwezi kupata mtu sahihi wa kuivusha nchi kwani wote wapigaji.
Wewe kipimo chako cha akili ni kufaulu form 4, ya mutihani hu wa necta kweli? acha chuki binafsi kwa Mama wewe mkosowe kwa hoja sio kwa mavazi yake au mfumo wake alio pitia kipata elimu, kila mtu ana historia yake, isipo kua wengine hamsemi yenu, tulishawahi kuona viongozi walio fauli f4 na kupata paka PhD ila hawana uwezo kabisa tabia zao zinafanana na wa ganga wa kienyeji.
 
Andika Gypsum Podwer ilikuwa inauzwa elfu 25 sasa ni elfu 32.
Nondo 12mm sasa ni elfu 25.

10 Tena kwa SSH.
Vioo kwa ajili ya madirisha Sheet ilikuwa 54000 kwa 4mm na 73000 kwa 5mm, sasa vioo ni 170000 yani ni hatari. Hata yale machuma ya madirisha ya aluminium yamepanda
 
Unajua maana ya maradufu? Maradufu ni kwa figures za nchi nilizokuwekea hapo juu.

Pili UHAI wa uchumi ni bei kupanda(inflation) kwa reasonable rates kama ya kwetu iko kwenye 4% na hata ingeendelea kupanda hata kufika 8% still ni viwango vizuri kwa Nchi kama hizi zetu maskini ..

Ukiona bei ziko stagnant ujue uchumi unaelekea shimoni ndio maana kwa kipindi chote cha Mwendazake ulichumi ulidumaa..

Enzi za JK inflation ilikuwa unacheza Kati ya 4-5% na biashara zilikuwa zinatoka Sana ndio tunaelekea sasa.Maumivu ya saizi ni kwa vile tulikotoka hatukuwa na extra income au purchasing power ilianguka Sana so somehow is biting,these are just side effects..

But baada ya mwaka au miaka 2 ijayo utasahau haya maumivu utakapokuwa unaona kila unachouza kinakupa pesa tena kwa wakati..

Next year kuna ongezeko la ajira mpya kwa maelfu na Serikali itaongeza salary Ili kuongeza disposable income kwa watu hatimaye watakuwa wananunua kwa hiyo pesa itakufikia na utasahau hizi maumivu.Unalia Lia ni kwa vile unakuta kwenye goli lako hakuingizi pesa Ili ku match na kasi ya kutoka.
Aya Bwana mchumi wa PhD holder, but hii goma ishalala, husemayo naunga mkono for 30% mda ni mwalim ,Cha msingi anzeni funga virago,2025 election ,ni wa history tangu TANGANYIKA kupata uhuru,

Maneno matam tumeyazoea Sasa,
1. Mwendazake = watz tembea kifua mbele tuko pazuri,tunatumia pesa zetu wenye, wapambe ndioo Mungu!!

2.kazi iendelee ,nafungua nchi= mama unaupiga mwigiiiii, tena mfumuko wa bei ndo unaonesha uchumi unakua Ndugu Rais,ukifika mwakani na ukaongeza ajira mapesa yatamwagika, ila KWa Sasa watumishi usiwaongezee chochote utaaribu uchumi,


Tz raha Sana aisee
 
Aya Bwana mchumi wa PhD holder, but hii goma ishalala, husemayo naunga mkono for 30% mda ni mwalim ,Cha msingi anzeni funga virago,2025 election ,ni wa history tangu TANGANYIKA kupata uhuru,

Maneno matam tumeyazoea Sasa,
1. Mwendazake = watz tembea kifua mbele tuko pazuri,tunatumia pesa zetu wenye, wapambe ndioo Mungu!!

2.kazi iendelee ,nafungua nchi= mama unaupiga mwigiiiii, tena mfumuko wa bei ndo unaonesha uchumi unakua Ndugu Rais,ukifika mwakani na ukaongeza ajira mapesa yatamwagika, ila KWa Sasa watumishi usiwaongezee chochote utaaribu uchumi,


Tz raha Sana aisee
🤣🤣😁😁 Kujifariji ni vizuri Mkuu but hakuna mbadala wa Samia kwa sasa jipangeni kuanzia 2035 ..

Go Samia go ,tuna Imani na wewe 👇

Screenshot_20211117-135804.png


JamiiForums-911681403.jpeg


JamiiForums845843380.jpeg


2973195_FB_IMG_16332143456548674.jpg
 
🤣🤣😁😁 Kujifariji ni vizuri Mkuu but hakuna mbadala wa Samia kwa sasa jipangeni kuanzia 2035 ..

Go Samia go ,tuna Imani na wewe 👇

View attachment 2018578

View attachment 2018580

View attachment 2018581

View attachment 2018582
Mapema Sana tunamaliza biashara, 2025 sio uchaguzi wa kitoto ,utakumbuka, hata muazime majeshi yote A.mashariki, ni uchaguzi
1, Uonevu vs haki
2.Wenyenchi vs wamiliki wa nchi
3. Usawa vs ukandamizaji
4. Maisha bora KWa kila mtz vs watu wachache
5. Wala bumbi vs Wala viyoyozi
Mda ni mwalim nitakukumbusha
 
Mapema Sana tunamaliza biashara, 2025 sio uchaguzi wa kitoto ,utakumbuka, hata muazime majeshi yote A.mashariki, ni uchaguzi
1, Uonevu vs haki
2.Wenyenchi vs wamiliki wa nchi
3. Usawa vs ukandamizaji
4. Maisha bora KWa kila mtz vs watu wachache
5. Wala bumbi vs Wala viyoyozi
Mda ni mwalim nitakukumbusha
HApo utakuta mnamsimamisha yule jamaa anayepakatwa huko Ulaya 🤣🤣😁😁 ..

Mama atapita kama kumsukuma mlevi..Hakuna mjinga wa kuchagua huyo mke mdogo wa Armsterdam na itakuwa ni matusi kwa Watanzania.
 
We ni jinga Sana, JPM alidhibiti mfumuko wa bei wakati wake, huyu anawachekea wafanyabiashara wanajipangia bei watakavyo.
Sitakujibu maana huna akili... Wapi ulisha ona uchumi unadhibitiwa kwa mtutu wa bunduki?
 
Sasa hayo ni madhara kweli! Yani kwenye utawala wake misumari kilo uuziwe elf 5 halafu awamu hii kilo hio hio iuzwe elfu 15 utakuwa una kitu zaidi ya bange umetumia.
Ungekuwa mfanya biashara ungenielewa Mzee... Subirieni hivyo hivyo bado vitu vitapanda bei hadi mjue hamjui
 
Kwaniaba ya Zitto , Makamba na Nape nachukua fursa hii kusema kuwa mfumuko wa bei na bidhaa kupanda umesababishwa na Hayati Magufuli... ..mama anafungua nchi
Kutawala kunahitaji akili siyo chawa.
 
Back
Top Bottom