chase amante
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 5,553
- 2,073
Habarini ndugu,
Hivi sasa bei za bidhaa kuanzia bidhaa za majumbani kama sabuni, mafuta na vinginevyo mpaka mbolea ,vifaa vya ujenzi n.k vimepanda bei.
Bei zimekua kubwa sana kiasi mtu wa kawaida kuzimudu inakua shida.
Vifaa vya ujenzi ambavyo vingi tunatengeneza hapa hapa nchini navyo vimepanda bei.hii ni hujuma kwa taifa ,kwa sababu kuna wafanyabiashara wanapandisha bei vitu bila utaratibu maalum na kwa kujitakia tu.
Naomba viongozi mseme neno,hili swala litatuliwe mapema.msisubiri maandamano km yanayotokea nchi za majirani wenzetu wa sudan na kwingineko.
Kinga bora kuliko tiba.nawasilisha
Hivi sasa bei za bidhaa kuanzia bidhaa za majumbani kama sabuni, mafuta na vinginevyo mpaka mbolea ,vifaa vya ujenzi n.k vimepanda bei.
Bei zimekua kubwa sana kiasi mtu wa kawaida kuzimudu inakua shida.
Vifaa vya ujenzi ambavyo vingi tunatengeneza hapa hapa nchini navyo vimepanda bei.hii ni hujuma kwa taifa ,kwa sababu kuna wafanyabiashara wanapandisha bei vitu bila utaratibu maalum na kwa kujitakia tu.
Naomba viongozi mseme neno,hili swala litatuliwe mapema.msisubiri maandamano km yanayotokea nchi za majirani wenzetu wa sudan na kwingineko.
Kinga bora kuliko tiba.nawasilisha