Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 65
naona kuna fagio limepita kuondoa uchafu ambao Game Theory alikuwa ameweka hapa. Mods asanteni kwa kazi nzuri maana huyu baba amezidi dharau zake dhidi ya wanawake hapa jamvini.
Sijui sasa Masha atawapa CHADEMA siku ngapi baada ya tamko la Zitto la kumtaja Masha na hili la Mbowe.
Naamini argument ya watu ni kwamba Masha anatumia cheo chake kutishia normal citizen.
Unasoma posts zote mkuu kwenye thread hii?Ila mkuu nawe ni mchokozi kimtindo
- Hapa huwi fair hata Mengi anatumia vyombo vyake vya media kutishia wananchi ndio maana tukasema hivi tusubirie sheria iamue!
naona kuna fagio limepita kuondoa uchafu ambao Game Theory alikuwa ameweka hapa. Mods asanteni kwa kazi nzuri maana huyu baba amezidi dharau zake dhidi ya wanawake hapa jamvini.
Iweke katika lugha rahisi mkuu,nikuelewe.Mwafrika wa Kike,
Do me a favor dada yangu, if you really mean that. Kama kweli unachukia udhalilishwaji wa wanawake humu, na kwa sababu naona viongozi wa forum wamekusikiliza, naomba uwaambie watoe mabandiko ya kikudakuda ya dhidi ya dada Emelda Mwamanga ambayo wameyarudisha humu tena. Wameweka picha za huyo dada juxtaposed next to wanaume wamemshikia makende! Wanadai she is ugly, as if kagombea beauty pageant.
That is Utamu material Mwafrika wa Kike. Wengine tumewa call out wanatufutia, eti tunakebehi moderators, na mods wanaweka thanks kwenye vitisho vya kunifungia. Which absolutely does not faze me, because I wouldn't miss another Utamu-like forum.
Sasa najua siku zote Mwafrika wa Kike you never wanna get into elbowing with the mods and all that, you always try to shield them from the likes of us, who call them out when don't uphold their own standards.
But if you really mean that, if it is in the core of your being to stand for the dignity of all people, the her and the him alike, if this is not just another border clash btn you and you know who, then go out there and repudiate that Utamu jibberish Mwanamke wa Kiafrika.
Mwafrika wa Kike,
Do me a favor dada yangu, if you really mean that. Kama kweli unachukia udhalilishwaji wa wanawake humu, na kwa sababu naona viongozi wa forum wamekusikiliza, naomba uwaambie watoe mabandiko ya kikudakuda dhidi ya dada Emelda Mwamanga ambayo wameyarudisha humu tena. Wameweka picha za huyo dada, ambae wanadai she's ugly (as if kagombea beauty pageant) wameweka picha zake juxtaposed next to wanaume wamemshikia makende!
That is Utamu material Mwafrika wa Kike. Wengine tumewa call out wanatufutia, eti tunakebehi moderators, na mods wanaweka thanks kwenye vitisho vya kunifungia. Which absolutely does not faze me, because I wouldn't miss another Utamu-like forum.
Sasa najua siku zote Mwafrika wa Kike you never wanna get into elbowing with the mods and all that, you always try to shield them from anybody who calls them out when they don't uphold their own rules.
But if you really mean that, if it is in the core of your being to stand for the dignity of all people, the her and the him alike, if this is not just another border clash btn you and you know who, then go out there and repudiate that Utamu jibberish Mwanamke wa Kiafrika.
Mwafrika wa Kike,
Do me a favor dada yangu, if you really mean that. Kama kweli unachukia udhalilishwaji wa wanawake humu, na kwa sababu naona viongozi wa forum wamekusikiliza, naomba uwaambie watoe mabandiko ya ki-Utamu-utamu dhidi ya dada Emelda Mwamanga ambayo wameyarudisha humu tena. Wameweka picha za huyo dada, ambae wanadai she's ugly (as if kagombea beauty pageant) wameweka picha zake juxtaposed next to wanaume wamemshikia makende!
That is Utamu material Mwafrika wa Kike. Wengine tumewa call out wanatufutia, eti tunakebehi moderators, na mods wanaweka thanks kwenye vitisho vya kunifungia. Which absolutely does not faze me, because I wouldn't miss another Utamu-like forum.
Sasa najua siku zote Mwafrika wa Kike you never wanna get into elbowing with the mods and all that, you always try to shield them from anybody who calls them out when they don't uphold their own rules.
But if you really mean that, if it is in the core of your being to stand for the dignity of all people, the her and the him alike, if this is not just another border clash btn you and you know who, then go out there and repudiate that Utamu jibberish in that thread Mwanamke wa Kiafrika.
BBC ndiyo nini? Au ndiyo wapi? Mimi ni Fundi Mchundo wala si dereva. Walahi sijawahi kutoka nje ya Marekani, sina gari ( nina baiskeli) na wala sijui kuendesha gari. Sasa huyo mama ningemwendesha wapi? Maadam naona Mkuu umeniombea neema basi itakuja tu. Fundi Mchundo dereva! Mbona jamaa wataipata.
Haunijui, Mkuu, haunijui!
Sijawahi kusema wewe ulikuwa dereva wa Masha. Nilichosema ni kuwa hata dereva wa Masha anaweza kupata uwaziri bongo kama Rais wetu atamwona anafaa. Mbona unajihisi au ndiyo ulikuwa unafagilia uwaziri?
You take yourself too seriously. Wengi hatukujui humu kwa hiyo hata tukilumbana naamini haitaleta tofauti yeyote katika maisha yako!
Ngoja nipumzike kidogo maana naona Mwafrika wa Kike amenivurugia mipango yangu.
Amandla.........
..... well, I dont like what I have seen so far but hey... fighting with MODS is the last thing you will ever see me get myself into... Sometimes......just like Bubba once asserted...... messages behind the scene are lethal than MOAB - Mother Of All Bombs....
Hizi siku wala hakuna haja ya kuzihesabu kwa sababu naamini hakuna kitakachotokea.
Waziri Masha alitoa hiyo amri akiwa na lengo la kuisafisha Serikali machoni mwa wananchi. Alijua akimpa Mengi siku saba wananchi watajua Serikali haina mchezo na yeye Masha kupata sifa kem kem za utendaji kazi. Wananchi ni wepesi wa kusahau hivyo wiki 2 zijazo hii issue itakuwa imeshafutika kwenye kumbukumbu za wengi.
Fair enough Mwafrika wa Africa, you have let me know where you stand.
You have ruminated a lot on the intrigues of the politicians of modern day America, so I am sure you have intimate knowledge of some figures of the past century too. One of them, Malcom X, once said so trenchantly, "I have more respect for a man and woman who lets me know where he or and she stands, even if he is wrong, than the one who comes up like an angel and he is nothing but a devil." So, I thank for not mincing words.
I didn't wanna start following your lead here on this effort to rout gender bigotry only to find out rather late that your valiance and principles have a limit. Well, now I know where you draw the lines. See, when Martin Luther King Jr. accepted the peace prize during the height of '60s racial excesses in America, that man again, Malcom X, questioned how come they were following a general to a war who all of a sudden was getting gifts from the enemy, before the war was over! After all there was no peace that King's people were enjoying. You know, I was gonna follow you here. So before I hopped on your ship here its a good thing I now know how far you will push the envelope before you jump ship. So thank you again for being blunt with your machinations and alliance-forming intrigues here.
See, that's why I could never be a politician. Because you can't possibly be one and have any unshakable code of being. You gotta know how to form alliances, and who to pay homage to, and who not to provoke, and whose bandwagon to hop on, and whose ideological butt to kiss, and who to go to bed with, and all those intrigues of politicians. (I am only using political metaphors here, Mwafrika wa Kike, and I hope and I'm sure you won't take me out of context here, please don't, and you should know that I respect you profoundly; and by the way, your comments that I was among those who intrigued against your presence here couldn't be farther from the truth.)
But anyhow, let me put you on to something, Mwanamke wa Kiafrika, a code that I try to hold on to so fiercely. If you believe in something, Mwafrika wa Kike, if you think, for example, that women should not be disparaged and thumped on, and treated like two-bit trumps, and articles of sex and rumination of man, then you can't possibly put a cap on how far you would go to confront the perpetrators of such dark age mentality. Sometimes there is a purpose bigger than authorities, bigger than owners of a discussion forum, bigger than the law of man. Or of gods. So, while I do not revel in, in fact I do hate, tussling with the mods as much as you do - believe you me I hate it - yet I do not want to sell the core of my being in order to be on the right side of authority. Just wanted to share with you, Mwafrika wa Kike, that that is where I stand. Thanks again for your thoughts.