Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,919
Ninapokea kimemo kanasema haya hapa chini .
Mgogoro baina ya Masha na Mengi ni mgumu kiasi. Mgogoro huu unaashiria kufikia ukingoni kwa zama za CCM kuwaamuru wafa nyabiashara kama wanavyotaka.
Masha ana maovu ambayo anataka yasijadiliwe kwa undani hata kidogo. na Hivyo anaona njia pekee ni kumparamia Mengi ambaye vyombo vyake vya habari vimekuwa vikiwanyima CCM usingizi siku za hivi karibuni.
Siri kubwa iko kwenye namna Masha kama Advocate alivyoiestablish Meremeta na kuiua ikiwa imekunywa USD 10,000,000 za nchi yetu. Masha anajua wazi katika vyombo vitakavyo mkaanga ni vya Mengi This Day na Kulikoni na mengineyo. Huo ndiyo mzizi wa mgogoro wao.
Hata hivyo Mashga ni kivuli cha viongozi kadhaa wa CCM pamoja na wahindi wanaoifadhili CCM.
Je kuna mwenye nyongeza wakubwa hapa jamvini ?
Mgogoro baina ya Masha na Mengi ni mgumu kiasi. Mgogoro huu unaashiria kufikia ukingoni kwa zama za CCM kuwaamuru wafa nyabiashara kama wanavyotaka.
Masha ana maovu ambayo anataka yasijadiliwe kwa undani hata kidogo. na Hivyo anaona njia pekee ni kumparamia Mengi ambaye vyombo vyake vya habari vimekuwa vikiwanyima CCM usingizi siku za hivi karibuni.
Siri kubwa iko kwenye namna Masha kama Advocate alivyoiestablish Meremeta na kuiua ikiwa imekunywa USD 10,000,000 za nchi yetu. Masha anajua wazi katika vyombo vitakavyo mkaanga ni vya Mengi This Day na Kulikoni na mengineyo. Huo ndiyo mzizi wa mgogoro wao.
Hata hivyo Mashga ni kivuli cha viongozi kadhaa wa CCM pamoja na wahindi wanaoifadhili CCM.
Je kuna mwenye nyongeza wakubwa hapa jamvini ?