Hivi inakuwaje watu wanaiona PCB kuwa kimbilio pale wanapotaka ushahidi, nje ya hapo wanaituhumu kuwa ni sehemu ya kuendeleza rushwa? ukweli wenyewe hatuna system ambayo inaweza kumshawishi mpenda haki yeyote yule kuwa muadilifu kwa system. Nafikiri wapenda haki wote kwa system yetu, kubwa wanaloweza kufanya ni kujiuzulu ili wasiendelee kupakwa matope kama wengine, lakini wengi wanaamua kuendelea, hivyo kwa hili tumpongeze tu Ndesamburo.
Kubwa naloliona hapa, ni kashfa kwa viongozi kutumia nafasi zao kulizima suala zima. Kwa spika kumwambia Ndesamburo afuate taratibu za Bunge, huku akijua wazi kuwa hakuna Mbongo yeyote atakayejua kwani taratibu za kamati si kila mtu anazijua, kuwa hakuna kitu kitakachotolewa nje!!!
Kubwa naloliona hapa, ni kashfa kwa viongozi kutumia nafasi zao kulizima suala zima. Kwa spika kumwambia Ndesamburo afuate taratibu za Bunge, huku akijua wazi kuwa hakuna Mbongo yeyote atakayejua kwani taratibu za kamati si kila mtu anazijua, kuwa hakuna kitu kitakachotolewa nje!!!