Kilbark
JF-Expert Member
- Feb 25, 2008
- 572
- 158
Hata mtoto wa kindergarten anajua kuwa hawa NSSF wanaendekeza udini.Kama kuna watafiti ama researchers anzeni kuangalia kuanzia ngazi ya juu chini ndani ya shirika letu tukufu linaloheshimika kwa kufuja mishahara ya wazee wetu wastaafu wasio na hatia kwa mambo ya anasa.
I short huyo muheshimiwa mdau ameweka mitandao ambayo inahalalisha dini yake inapewa kipaumbele katika kila kitu ndani ya hilo shirika kuanzia ajira,kusoma,kupandishwa cheo,mikopo,mikataba minono lakini mibovu na mambo mengi ambayo hayafai kuelezwa kwani yanahitaji pia uchunguzi wa kina.
I short huyo muheshimiwa mdau ameweka mitandao ambayo inahalalisha dini yake inapewa kipaumbele katika kila kitu ndani ya hilo shirika kuanzia ajira,kusoma,kupandishwa cheo,mikopo,mikataba minono lakini mibovu na mambo mengi ambayo hayafai kuelezwa kwani yanahitaji pia uchunguzi wa kina.