Mengi vs Manji: Ukweli ni upi?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,447
39,855
Kama magazeti ya ippmedia yaliandika habari za kweli kuhusu Quality Group na kama Quality Group wanaona kuwa habari zilizoandikwa na magazeti hayo ni za uongo na za kashfa kwanini Mengi anataka wakae chini wazungumze? Ni mgongano gani kati ya Watanzania wa rangi mbalimbali anaohofia Bw. Mengi? Hivi mgawanyiko kati ya Wahindi wa Weusi umeanza leo kwenye kisa cha mashirika hayo makubwa na kati ya watu hawa matajiri zaidi nchini?

Ni kitu gani ambacho hawakisemi???

Acheni mahakama iamue!!!!
 
Manji/Quality Group borrows from NSSF Shs 9.0 billion to build: Ubungo Godowns

Manji/Quality Group sells Ubungo Godowns to National Social Security Fund (NSSF) for Shs 47.5 billion within 2 months of negotiations.

Manji/Quality Group sells Quality Plaza to Public Service Pensions Fund (PSPF) for shs 36.0 billion.

TOTAL SALE PROCEEDS - Shs 83.5 billion

THE UNANSWERED QUESTIONS

What facilitated the approval of the loan of shillings 9.0 billion to NSSF within such a short period of time?

Has the loan of Shs 9.0 billion from NSSF been repaid by Quality Group?

How was it possible to conclude negotiations and the purchase of the godowns by NSSF within such a short period of two months and two weeks?

Was capital gains tax paid on the sale of Ubungo Godowns and Quality Plaza?

The first valuation of the Ubungo godowns is said to have been done by the University College of Lands and Architectural Studies (UCLAS). Who engaged UCLAS, and is there a contract for this engagement?

Has ownership of the buildings been transferred to NSSF and PSPF?

Quality Group occupies space in the Ubungo Godowns and Quality Plaza. What percentage of the built up area is it occupying in each building respectively?

What is the rent payable by Quality Group for occupation in the Ubungo Godowns and Quality Plaza respectively and is the rent paid to-date?

How much rent has been received by NSSF and PSPF since the acquisition of the properties?

What is the cost of running and maintaining the Ubungo Godowns and Quality Plaza, including management/consultancy fees?

Are the Ubungo Godowns and Quality Plaza insured? If in the affirmative, who is the insurer and at what value respectively?

Where are the proceeds of shillings 83.5 billion from the sale of Ubungo Godowns and Quality Plaza? Are they in the country of have they been repatriated?

NSSF and PSPF which are public financial institutions have explained their part in the purchase of Quality Group properties through the media. Whay did Manji and Quality Group decide to give its explanation in a court action?

The only thing THISDAY and KULIKONI can be accused of is their resolve to seek answers to these questions.

To call the Manji/Quality Group/NSSF/PSPF sale transactions a business quarrel or a personal wrangle between Mengi and Manji or a religious or racial conflict is a deliberate lie meant to divert attention from the real issues.
 
Wazee, mambo yanaenda yakiongezeka. Ilikuwa kule BCSTimes (wakaiua forum) sasa vichwa vimesambaa kila forum kumwaga nondo za uhakika. Great thinking Brothers & Sister(s)!
 
Interested Observer ASANTE!

Utakuja wakati wananchi tutawaburuza hawa jamaa mahakamni physically!
Mchungaji Mtikila si kichaa kabisa jamani, ila inabidi aanzishe system yaku train vijana na kumwaga vitu kwenye nyanja kama hizi. He is a needed thorn on the government and so are most contributors in this forum!

Good stuff! Ila wakati unakribia ambao itabidi tu ACT bila hivyo tutaishia porojo tu, IPTL iliishia wapi kule maoni.org?
 
Hawa jamaa hata wakiburizwa mahamani haitoshi, hizo hela wanazoiba ni nyingi mno! Think of 83 billion shs, in other words, USD 83 million sasa jamani hata tunaweza kuwaburuza. Hizo hela labda ziko ulaya tayari. Is real painful. Muhindi anakuja tanzania na dollar 2000 anachonga misheni anatoka na dollar million 80!! Mie sometimes huwa naona hata akina mwamwindi hawakuwa na makosa!! Samahani lakini! Mie siona kama na sisi ni nchi yetu hii! Tuna rais, tuna mawaziri, tuna polisi, na hiki chombo chao PCB (Protection of Corrupt Bureau!) better go to hell!!
 
PCB ni kama ulivyosema inaprotect corruption. Na CCM labda nikubali ni chukua chako mapema kama watu wa kawaida wanayosema!

Kumbuka hawa wahindi wamewaweka viongozi wengi wa chukua chako mapema(CCM) mifukoni!

wahindi wanapatika na kufanya biashara sana kwenye nchi zinazokubatia rushwa! Jana nilikuwa ninaongea na jamaa mmoja wa rwanda ansema wahindi wameisha ingiza rushwa huko rwanda!

watachukua chao mapema mpaka hapo vita itakapoanza ndipo watapostuka!
 
Wazungu wanaamini na kutufanya sisi tuamini kuwa hatuna akili sawa (we are less intelligent). Bahati mbaya sana wazo hilo linaonekana kuwa na matokeo sahihi kupitia matukio ya historia ya mtu mweusi. Bahati mbaya zaidi viongozi wetu kwa kujua au sivyo wamejikuta wakiwa vielelezo vya kuunga mkono wazo hilo.

Tukianza kwa vitendo kupinga wazo hilo, naamini tutachukua njia ya sahihi ya kuelekea tunakotaka.....
 
Interested Observer said:
..... Muhindi anakuja tanzania na dollar 2000 anachonga misheni anatoka na dollar million 80!!....... Mie siona kama na sisi ni nchi yetu hii! Tuna rais, tuna mawaziri, tuna polisi, na hiki chombo chao PCB (Protection of Corrupt Bureau!) better go to hell!!
Nakubaliana nawe na wanabodi kuwa inauma sana, ila nadhani nitatofautiana na yeyote atakayeanza kuasema ati wahindi au wageni hawa wamefanya hivi au vile. Tatizo kubwa lipo kwetu wenyewe, wala siyo hao wanaochangamkia hizo pesa...ihit.Sasa kama wamekuta viongozi wetu ni mbumbumbu na sisi pia ni mbumbumbu hatuhoji kitu kwa nini wao wasichangamkie pesa za bure???

Tunatakiwa tujiulize wenyewe je nani anaweza akakataa pesa za burebure? Nadhani kipindi si kirefu kulikuwa na ishu ya ma waiter/ waitress kutoka nchi za nje walipewa work permit(vibali vya kufanyia kazi nchini), sasa hapo kosa ni lanani??

Nadhani hii topiki itaturudisha kwenye swala la viongozi vihiyo na hayo hapo juu ndo matokeo yake. Kama kiongozi (au mtegemea uongozi) anaweza akanunua karatasi iliyoandikwa PhD, halafu akaitumia kujipa ujiko kuwa ameenda shule je mtu huyo huyo akionyeshwa kitu kidogo (au akidanywa kidogo tu) si anaweza nunulika kiirahisi sana.

Pia ati kuna jeshi la polisi, askari kanzu na tume maalum ya kuzuia rushwa (PCB) na kila leo tunasoma na kuona rushwa iliyokithiri ikiwa inaonekana wazi hata kwa mtu asiyekuwa na ujuzi wa huo uaskari kanzu, si inabidi tuhoji kazi za hao jamaa na kazi zao?- Nadhani kipindi fulani kulikuwa na uvumi mkubwa kuwa hao jamaa wa PCB ndo namba moja kwa kula rushwa, kwa madudu kama haya je tunaweza kuwatetea??

Nadhani tutaendelea kulaumu watu wengine mpaka watanzania tutakapo pata akili na kufahamu kuwa ule msemo wa kiswahili usemao " Kikulacho ki nguoni mwako" unatuhusu sisi na hao wanaojiita vigogo wa nchi na wala sio Kaburu aliyekabidhiwa Mgodi wa almasi, Mhindi anayepiga mishen town za mamilioni ya dola au Mzungu toka ulaya anayekuja na kuanza kutuuzia maji yetu wenyewe au kutuuzia pantoni au ndege mbovu bila ya huruma yeyote. After all kila mtu mwamba ngozi huwambia upande wake.
 
Wanabodi,

Huyu jamaa mbona anjeuri namna hii. Anatumia utajiri wake kuzuia haki za wananchi kiuchumi (ref: report za hivi karibuni), kwa kutumia pesa zake ameweza kuwalaghai WEZI wenzake (baadhi ya viongozi) kuwanyima haki wafanyabiashara wadogo wasifaidike na scheme of Funds toka Japan. By the way WHO IS THIS MANJI?
 
Manji ni mhongaji namba moja!

Manji ni kati ya viranja 10 wa taifa letu akishirikiana na viongozi na watumishi walafi wa utajiri ili kuhakikisha kuwa WATANZANIA MNAENDELEA KUBAKI KWENYE LINDI LA UMASKINI.

HUYO NDIYE MANJI!
 
Mkira,

Punguza "uzalendo" kidogo tupate CV ya bwana Manji. Sio kwa nia mbaya ila kumfahamu tu, Mengi wote tunamfahamu.

FD
 
Kwanza huwa najiuliza ni kwa nini Mzee wa Jiji "Makamba" alimpiga busu mwanaume mwenzake "Manji" mbele ya wananchi? Kama kuna mtu ana jibu naomba nipatiwe. Pili katika ufuatiliaji wangu nimekutana na mambo ya aibu kabisa kwamba katika watu walioidhinisha uuzaji wa ghala kwa mabilioni ya fweza kuna viongozi wajuu kabisa wa nchi, sina uhakika na hilo kwa maana sijaona sahihi zao ila chanzo cha habari kinasema huo ndiyo ukweli ndiyo maana huyu mtu ana kiburi namna hiyo, hatua ya spika ya kukataa hilo jambo lisiongelewe bungeni linaonyesha jinsi gani kuna mambo yanafichwa mpaka yasafishwe mwandishi wa habari hiyo hapo chini hajaelewa ni swali gani lilikatazwa kwani waandishi wa habari ni wale wale wako mstari wa mbele kuzuia ukweli. Mashtaka ya mengi na Manji ni mashtaka binafsi sidhani kama Zitto alikuwa anataka kuuliza mambo binafsi ya mengi na Manji, Mzee ES naomba tupe swali lililokataliwa.

"Katika hatua nyingine, Spika wa Bunge, Bw. Samwel Sitta jana alimzuia Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Bw. Zitto Kabwe (CHADEMA), asiulize swali liliwahusisha wafanyabiashara Bw. Regnard Mengi na Bw. Yusuph Manji.

Baada ya hatua hiyo baadaye Mwanasheria Mkuu wa Serikali aliwaambia waandishi wa habari kwamba kwa mujibu wa kanuni ya 53 ya Bunge, mbunge anazuiwa kuuliza swali kama suala analohoji lipo mahakamani hadi pale litakapotolewa uamuzi. "
 
Sam,
Mwalimu aliwahi kusimulia juu ya mfanyibiashara mmoja aliyekuwa anatembea anatamba kuwa serikali imo mfukoni mwake. Mwalimu akaamuru yule mshenzi akamatwe. Alipokamatwa, Mwalimu akatumiwa wajumbe mbalimbali mashuhuri kukiwemo na mjumbe kutoka kwa Askofu Mkuu Makarios wa Cyprus kuomba aachiwe. Kwanza Mwalimu alikataa na Askofu mkuu mwenyewe akampigia simu. Mwalimu akamheshimu askofu mkuu na kuamuru aachiwe kwa masharti kwamba katu hatakanyaga tena Tanzania. Nawaulizeni, hivi leo hawa kina Manji wakitamba kuwa viongozi wa juu wamo mifukoni mwao kipi kitakachowasibu?
 
Jasusi jibu haraka haraka ni kuwa hakuna kitakachowapata. Tatizo linalotokea kwenye kesi hii ni kuwa hili si suala la mfanyabiashara mmoja mdogo dhidi ya mfanyabiashara fulani mkubwa. Hili ni suala la "vita vya tembo". JK hata kama atake vipi hana ubavu wa kuchukua hatua zozote kwani wakubwa wengi wamenufaika na mfuko wa Manji na ule wa Mengi!! Ni vigumu hata hawa viongozi kujaribu kupatanisha bila ya kuonekana wana upendeleo wa upande fulani. Tatizo kubwa ni kuwa Mengi ana vyombo vya habari, na vyote haviandiki habari za wazi isipokuwa zile zinazompigia debe na kumletea kinga. Majira imejaribu kuandika habari hizi kwa kumpendelea Manji lakini mmoja wa wakubwa wa bcstimes sasa ni Mbunge wa CCM naona Majira hawataki kulizungumzia hili!!

Kilichobaki ni nyasi kuumia!!! Msishangae baada ya hili lote Manji na yeye akaamua kuingia kwenye magazeti (nafikiri anamiliki DTV or some TV station)
 
Hivi naona gazeti la This Day bado liko naskendo amabo sioni mwisho wake je kuna ukweli wowote kuhusu rushwa? na Tafadhali hii topic sio kuhusu UDINI bali tudiscuss FACTS kama ambazo zimewasilishwa kwenye PUBLIC DOMAIN

Je FICTION ni zipi na FACTS ni zipi?

je ROLE ya media iko wapi na je wako accountable kwa nani?

Na je kama issue iko Mahakamani mbona tunapewa conclusions na media bila kuwepo "gag" toka kwa jaji?
 
Mzee DrWho,

Heshima yako mkuu, Hebu fafanua kidogo swali lako, bado sijakuelewa vizuri maana niko tayari kutoa vitu nitakapokuelewa!
 
Ipo hapa (Just a part ya mambo ya quality garage)
http://thisday.co.tz/News/691.html

MP wants PSPF probe expedited




THISDAY REPORTER
Kigoma

A MEMBER of Parliament yesterday called for a swift parliamentary probe into the 36bn/- Quality Plaza deal, saying it was in the interest of the public to reveal the truth behind the suspect deal.

Mr Kabwe Zuberi Zitto, told a public rally at Mahembe village in his Kigoma North Constituency yesterday that the people were anxious for answers on the controversial transaction.

The lawmaker, who is also a member of the Parliamentary Finance and Economic Affairs Committee, called for the speedy formation of a parliamentary probe committee, which he said was awaiting green light from the office of the Speaker so that members of the probe team could be appointed.

Mr Zitto made the remarks when responding to various questions from members of the public who had gathered at his public rally.

One villager, Mr Ezekiel Samwel, wanted to know when the planned parliamentary probe into the deal between the Public Service Pensions Fund (PSPF) and Quality Group Limited would start.

’’I have confidence with (National Assembly) Speaker, Samwel Sitta, since he is a very credible and upright man of high integrity. I hope he will allow us to form a probe committee soon,’’ said Mr Kabwe.

He added: ’’If there are any questions, the Speaker can request the minutes of our committee meetings which clearly state the decision of members of the committee to form a probe team.’’

Mr Kabwe noted that while the government has been speaking strongly against corruption, there seems to be an emerging pattern of foot-dragging and dilly-dallying when it came to dealing with allegations against the Quality Plaza deal.

’’There is a clear case to act and nothing has been done yet ... There are no so-called personal grudges between Reginald Mengi and Manji here, it’s the issue of your money -- taxpayers’ money,’’ he stressed.

The MP told the rally he was confident that the Speaker would act decisively on the matter.

Members of the Parliamentary Finance and Economic Affairs Committee recently resolved to form a probe team to conduct a special audit investigation on the deal.

The committee’s chairman, Dr Abdallah Kigoda, or his deputy, Mr Adam Kighoma Malima, were expected to inform the Speaker of the National Assembly in writing on the formation of the probe committee and seek his approval.

The terms of reference that have already been drafted task the would-be probe committee with probing the decision of the management of PSPF to buy shares into Quality Plaza Limited, instead of just purchasing the property.

The probe is also expected to centre on the move by former owners of Quality Plaza Limited to push up the value of the company from 30bn/- to 36bn/-, just a few days before the purchase agreement was signed.

Furthermore, lawmakers are to investigate if the additional 6bn/- capitalization was actually paid up by the former shareholders of the company -- Quality Group Limited (95 per cent) and Mr Mehboob Manji (5 per cent).

The former owners of Quality Plaza Limited had filed a notice of increase in the nominal capital of the company from 30bn/- to 36bn/- before the Business Registrations and Licensing Agency (BRELA) on November 10, 2004.

Just six days later (November 16, 2004), the PSPF Board of Trustees approved recommendations of the management of the pensions fund to buy Quality Plaza Limited for the magic 36bn/- figure.

Members of Parliament have agreed to incorporate representatives from the Prevention of Corruption Bureau (PCB) and the Controller and Auditor-General’s office in the planned probe.

According to the terms of reference for the probe committee, the accounts of Quality Plaza Limited before and after the sale are also to be scrutinized to ascertain its true financial position.

The probe team is also to be tasked with investigating the reasons for the former owners of Quality Plaza to sell 100 per cent of their shares if the company was truly profitable.

The controversial valuation of the property would further be probed, along with the decision of PSPF to use a ’’restrictive tendering procedure’’ to pick the valuer for the property.

The motive behind the investment, projected cash flow and other financial aspects of the transactions are also to be analyzed by the team.

Investigations by THISDAY have revealed that PSPF does not own the land where Quality Plaza is located despite paying staggering amounts for the property. The main title is owned by a woman identified as Hasina Gulamhussein.

Furthermore, the Quality Plaza building has a total of 11 sub-titles, of which only 9 have been formally handed over to PSPF after the sale.

The owner(s) of the two remaining sub-titles to the building remain a mystery.
 
Jamani hata ndani ya awamu ya 4 bado mambo si kasi kusemwa hadharani ? Duh !! Hivi kwa nini hawa watu walio tuingiza kenye hili janga wakisha bainika wasikamatwe jamani badala kuongea tu na wa hawajifunzi lolote mbali ya kutuumiza na kukubali kuliumiza Taifa ?
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom