RTI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 2,423
- 7,124
Ondoa shaka mkuu ila inabidi uanze kunisifu kwa mapambio ili ujitengenezee mazingira mapema.hahaaa ukiwa Rais unikumbuke niwe makamu...lol
Ondoa shaka mkuu ila inabidi uanze kunisifu kwa mapambio ili ujitengenezee mazingira mapema.hahaaa ukiwa Rais unikumbuke niwe makamu...lol
Ondoa shaka mkuu ila inabidi uanze kunisifu kwa mapambio ili ujitengenezee mazingira mapema.
Haaa mkuu usicheke dunia ya sasa ili utusue inabidi ujitoe ufahamu.hahahaaaaa mkuu mie hoi huku..
Wapumbavu hawakubali tujitenge bila damu kumwagikaAnza ww kujitenga
Hahahaaaa! Kwakweli,Hivi kwa nini hii nchi watu wasiruhusiwe kujitenga? Kila kabila lipewe nchi yake
Kiwango cha ujinga kwa baadhi ya makabila siyo cha level ya dunia hii. Wanatakiwa wapewe nchi yao wakae wenyewe
Akikujibu naomba ni tag.Nyungu/sauna ni ushirikina?
La saba hoyeee, kwa uelewa wake yuko sahihiMapambano ya Corona virus yanapamba moto hapa nchini. Na kila mtu anatoka kivyake.
Tunasikia kila kona ni habari za nyungu, lakini hii ya Musukuma ni balaa. Wapiga kura wote Geita vijijini!
View attachment 1711682
Huyu jamaa nina uhakika Corona lazima imalizane naye huyu in three monthMapambano ya Corona virus yanapamba moto hapa nchini. Na kila mtu anatoka kivyake.
Tunasikia kila kona ni habari za nyungu, lakini hii ya Musukuma ni balaa. Wapiga kura wote Geita vijijini!
View attachment 1711682
Mapambano ya Corona virus yanapamba moto hapa nchini. Na kila mtu anatoka kivyake.
Tunasikia kila kona ni habari za nyungu, lakini hii ya Musukuma ni balaa. Wapiga kura wote Geita vijijini!
View attachment 1711682
Wote wanaohubiri nyungu wana vimelea vya ushirikina!Nyungu/sauna ni ushirikina?
ahahahahaaaa chadema walikuwa sahihi siyo utawala wa majimboHivi kwa nini hii nchi watu wasiruhusiwe kujitenga? Kila kabila lipewe nchi yake
Kiwango cha ujinga kwa baadhi ya makabila siyo cha level ya dunia hii. Wanatakiwa wapewe nchi yao wakae wenyewe
Komando kipensi
Kama za umbaMbavu nene
😀😀 ukidundwa mi simo😀Kakonda mbavu, kanenepa tumbo...😂🤣