Joseph Kasheku Musukuma achukua Fomu ya kugombea Uspika

Kasomi

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
11,036
20,338
Mbunge wa jimbo la Geita vijijini Dr Joseph Kasheku Musukuma amechukua Fomu ya kugombea uspika wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania katika ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar es salaam

IMG_20220111_124641_822.jpg
 
Mbunge wa jimbo la Geita vijijini Dr Joseph Kasheku Msukuma amechukua Fomu ya kugombea uspika wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania katika ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar es salaam
Vituko vya wana Ccm
 
Kweli kabisa ngoja tusubiri huyu kama atapatikana kama si mwanasheria maana naona na Naibu spika ni miongoni mwa wagombea.
Kama sauti hii ni kweli..
then Spika wetu mpya ni Dr. Tulia
P
 
hivi humu ninani anakumbuka siku Benjamin Mkapa alipokuwa akichukua form ya kuogombea uraisi mwaka 1995 kupitia CCM? ingawa nilikuwa mdogo nakumbuka sana kwa jinsi CCM wenzake walivyo mdhihaki kwa kumwita majina mabaya mabaya, siku ya mwisho alipindua meza!!!!
 
Back
Top Bottom