Ni haki yake na ametimiza sifa na vingezo!. Niliwahigi kushauri Spika JYN ndiye awe Spika wetu wa mwisho asiye mwanasheria!.Mbunge wa jimbo la Geita vijijini Dr Joseph Kasheku Msukuma amechukua Fomu ya kugombea uspika katika ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar es salaam
Kweli kabisa ngoja tusubiri huyu kama atapatikana kama si mwanasheria maana naona na Naibu spika ni miongoni mwa wagombea.Ni haki yake na ametimiza sifa na vingezo!. Niliwa kushauri Spika JYN ndiye awe Spika wetu wa mwisho asiye mwanasheria!.
P
Vituko vya wana CcmMbunge wa jimbo la Geita vijijini Dr Joseph Kasheku Msukuma amechukua Fomu ya kugombea uspika wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania katika ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar es salaam
Kama sauti hii ni kweli..Kweli kabisa ngoja tusubiri huyu kama atapatikana kama si mwanasheria maana naona na Naibu spika ni miongoni mwa wagombea.