Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 573
- 2,553
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika pambano kati ya bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo dhidi ya bondia Kuvesa kutoka Nchini Congo ambapo katika pambano la utangulizi Waziri wa Nishati January Makamba atazichapa dhidi ya Mbunge Joseph Musukuma.
Akizungumza kuhusu pambano hilo Promota wa Pambano hilo ni mbunge Sophia Mwakagenda amebainisha kuwa Lengo la pambano hilo ni Kuchangisha pesa za kusaidia kununua taulo za kike, kwa Wanafunzi wanawake wa nyanda za juu Kusini.
Pambano hilo kubwa litapigwa April 4, 2023 jijini katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.
Akizungumza kuhusu pambano hilo Promota wa Pambano hilo ni mbunge Sophia Mwakagenda amebainisha kuwa Lengo la pambano hilo ni Kuchangisha pesa za kusaidia kununua taulo za kike, kwa Wanafunzi wanawake wa nyanda za juu Kusini.
Pambano hilo kubwa litapigwa April 4, 2023 jijini katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.