Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,132
- 20,294
Ni katika hatua za kujaribu kuzima moto wa Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chadema.
Basi Bwana Josefu Kusheku a.k.a Musukuma aliambatana na Mkuu wa Mkoa wa Geita.
Huku wanacnchi wakimtaka ktk ufafanuzi wake ajikite kwenye vifungu vya mkataba. Wananchi hawataki kusikia maneno ya rejareja.
Mwenyewe awashangaa kwanini wanampigia makofi Tundu Lissu kwenye mikutano yake.
Amekerwa kuitwa Mbunge wa Mchongo
Tazama video clip hii.
Basi Bwana Josefu Kusheku a.k.a Musukuma aliambatana na Mkuu wa Mkoa wa Geita.
Huku wanacnchi wakimtaka ktk ufafanuzi wake ajikite kwenye vifungu vya mkataba. Wananchi hawataki kusikia maneno ya rejareja.
Mwenyewe awashangaa kwanini wanampigia makofi Tundu Lissu kwenye mikutano yake.
Amekerwa kuitwa Mbunge wa Mchongo
Tazama video clip hii.