Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Mhe. Mbowe amenyoosha MKONO na kumwaleza Mhe. Jaji kwamba Wana miezi mitano bila kula chakula cha Mchana kwa maana nyingine kauli Hii inaonyesha watuhumiwa hawa wamekuwa wakishinda na kulala bila kula Kwa siku zote wanazoletwa mahakani huku mahakama ikishindwa japo kupitisha mchana bila kula
" Pale mwanzo tuliambiwa kuwa kama chakula tuchukue Kutoka Jela, tutoke nacho Jela tuje nacho Mahakamani, tkitoka hapa tunakutana Magereza Wameshakula tunakwenda kulala na njaa siku zote.. Hawa vijana wanakonda kila Siku hata kusikiliza kesi ni geresha.. Ni hayo tu.."
--
Freeman Mbowe: Mheshimiwa Jaji naomba kuleta Kwenye Mahakama yako kuwa tumekosa haki ya kula chakula mchana kwa Miezi 5, Wakati nyie Mna' break kwenda kula sisi hatupati chakula wala maji kwa miezi Yote 5
Pale mwanzo tuliambiwa kuwa kama chakula tuchukue Kutoka Jela, tutoke nacho Jela tuje nacho Mahakamani, tukitoka hapa tunakutana Magereza Wameshakula tunakwenda kulala na njaa siku zote. Hawa vijana wanakonda kila Siku hata kusikiliza kesi ni geresha.. Ni hayo tu.
Jaji: sasa nyie Kibatala mnatoa uwakilishi gani hapa Mahakamani kama wateja wenu hawali miezi mitano?
Kibatala: Sisi tulifikisha kwa Officer wa Magereza, Suluhu aliyotoa ndiyo hiyo asubuhi watoke na chakula Kutoka Jela Kitu ambacho tulibishana na hatukufikia Muafaka kwa sababu haiwezekani. Nafikiri hata Msajili Wa Mahakama analijua hilo, sitaki kumsemea.
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Kwa Mujibu Wa Jambo lililoletwa naomba Tubreak Kidogo tuweze Kuishauri Vyema Mahakama. Imekuwa ghafla sana.
Jaji: Basi nawaita Mawakili kuwakilisha Watu wote Ofisini Kwangu, Tuweze Kujadili
" Pale mwanzo tuliambiwa kuwa kama chakula tuchukue Kutoka Jela, tutoke nacho Jela tuje nacho Mahakamani, tkitoka hapa tunakutana Magereza Wameshakula tunakwenda kulala na njaa siku zote.. Hawa vijana wanakonda kila Siku hata kusikiliza kesi ni geresha.. Ni hayo tu.."
--
Freeman Mbowe: Mheshimiwa Jaji naomba kuleta Kwenye Mahakama yako kuwa tumekosa haki ya kula chakula mchana kwa Miezi 5, Wakati nyie Mna' break kwenda kula sisi hatupati chakula wala maji kwa miezi Yote 5
Pale mwanzo tuliambiwa kuwa kama chakula tuchukue Kutoka Jela, tutoke nacho Jela tuje nacho Mahakamani, tukitoka hapa tunakutana Magereza Wameshakula tunakwenda kulala na njaa siku zote. Hawa vijana wanakonda kila Siku hata kusikiliza kesi ni geresha.. Ni hayo tu.
Jaji: sasa nyie Kibatala mnatoa uwakilishi gani hapa Mahakamani kama wateja wenu hawali miezi mitano?
Kibatala: Sisi tulifikisha kwa Officer wa Magereza, Suluhu aliyotoa ndiyo hiyo asubuhi watoke na chakula Kutoka Jela Kitu ambacho tulibishana na hatukufikia Muafaka kwa sababu haiwezekani. Nafikiri hata Msajili Wa Mahakama analijua hilo, sitaki kumsemea.
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Kwa Mujibu Wa Jambo lililoletwa naomba Tubreak Kidogo tuweze Kuishauri Vyema Mahakama. Imekuwa ghafla sana.
Jaji: Basi nawaita Mawakili kuwakilisha Watu wote Ofisini Kwangu, Tuweze Kujadili