Mbowe: Tunanyimwa haki ya kupata mlo wa mchana na maji kwa miezi mitano sasa

Da chadema wana roho mbaya sana yaani mbwembwe zote zile kuwa Kila siku kunawasamalia wanaleta chakula mahakamani kume wanakul mashabuki tu atuhumiwa hawapewi? Mara walete keki yaani wana zambi sana wakiambiwa wmtoe wanakataa eti mwacheni tu mbwakabisa hawa
Niulize tu jamani! kwa nini wewe hujazaliwa kunguni au kama wewe ni kunguni kwa nini yai lako halikuharibika? Kama wewe ni binadamu hairuhusiwi kuwapa chakula mahabusu mahakamani!! umeelewa wewe kichwa maji?
 
Jaji buaaana anauliza mawakili hii nchi ina vituko
Jaji anafahamu fika hili lipo ni unyanyasaji wanaoufurahia watesi
Hii kesi haina mguu wala kichwa waaachieni hawa watu
Mungu ana malipizi makali Juu yenu Kwa nini kuwatesa watu
Kama jehanamu ipo basi mahakama wengi wataangamia kwenye tanuru la moto
 
Jaji buaaana anauliza mawakili hii nchi ina vituko
Jaji anafahamu fika hili lipo ni unyanyasaji wanaoufurahia watesi
Hii kesi haina mguu wala kichwa waaachieni hawa watu
Mungu ana malipizi makali Juu yenu Kwa nini kuwatesa watu
Kama jehanamu ipo basi mahakama wengi wataangamia kwenye tanuru la moto
Mungu awalaani hawa watu na vizazi vyao.
 
Da chadema wana roho mbaya sana yaani mbwembwe zote zile kuwa Kila siku kunawasamalia wanaleta chakula mahakamani kume wanakul mashabuki tu atuhumiwa hawapewi? Mara walete keki yaani wana zambi sana wakiambiwa wmtoe wanakataa eti mwacheni tu mbwakabisa hawa
Unazijua taratibu za Kyle magereza ? Hasa kwa Hawa watuhumiwa wa ugaidi wanavyo wa treat??
 
Mhe. Mbowe amenyoosha MKONO na kumwaleza Mhe. Jaji kwamba Wana miezi mitano bila kula chakula cha Mchana kwa maana nyingine kauli Hii inaonyesha watuhumiwa hawa wamekuwa wakishinda na kulala bila kula Kwa siku zote wanazoletwa mahakani huku mahakama ikishindwa japo kupitisha mchana bila kula


" Pale mwanzo tuliambiwa kuwa kama chakula tuchukue Kutoka Jela, tutoke nacho Jela tuje nacho Mahakamani, tkitoka hapa tunakutana Magereza Wameshakula tunakwenda kulala na njaa siku zote.. Hawa vijana wanakonda kila Siku hata kusikiliza kesi ni geresha.. Ni hayo tu.."

--
Freeman Mbowe: Mheshimiwa Jaji naomba kuleta Kwenye Mahakama yako kuwa tumekosa haki ya kula chakula mchana kwa Miezi 5, Wakati nyie Mna' break kwenda kula sisi hatupati chakula wala maji kwa miezi Yote 5

Pale mwanzo tuliambiwa kuwa kama chakula tuchukue Kutoka Jela, tutoke nacho Jela tuje nacho Mahakamani, tukitoka hapa tunakutana Magereza Wameshakula tunakwenda kulala na njaa siku zote. Hawa vijana wanakonda kila Siku hata kusikiliza kesi ni geresha.. Ni hayo tu.

Jaji: sasa nyie Kibatala mnatoa uwakilishi gani hapa Mahakamani kama wateja wenu hawali miezi mitano?

Kibatala: Sisi tulifikisha kwa Officer wa Magereza, Suluhu aliyotoa ndiyo hiyo asubuhi watoke na chakula Kutoka Jela Kitu ambacho tulibishana na hatukufikia Muafaka kwa sababu haiwezekani. Nafikiri hata Msajili Wa Mahakama analijua hilo, sitaki kumsemea.

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Kwa Mujibu Wa Jambo lililoletwa naomba Tubreak Kidogo tuweze Kuishauri Vyema Mahakama. Imekuwa ghafla sana.

Jaji: Basi nawaita Mawakili kuwakilisha Watu wote Ofisini Kwangu, Tuweze Kujadili
Hii ni aibu!!! Huu ni ukatili ulio pitiliza. Jaji ana walaumu mawakili wa utetezi badala ya kukemea vyombo vya ulinzi kwa huu uonevu?? This is rubbish!!!
Kwanza hawa bado sio wafungwa wana haki zao za msingi. Kula vyakila vya familia..
Kweli imeniuma. What a shame???
 
Mhe. Mbowe amenyoosha MKONO na kumwaleza Mhe. Jaji kwamba Wana miezi mitano bila kula chakula cha Mchana kwa maana nyingine kauli Hii inaonyesha watuhumiwa hawa wamekuwa wakishinda na kulala bila kula Kwa siku zote wanazoletwa mahakani huku mahakama ikishindwa japo kupitisha mchana bila kula


" Pale mwanzo tuliambiwa kuwa kama chakula tuchukue Kutoka Jela, tutoke nacho Jela tuje nacho Mahakamani, tkitoka hapa tunakutana Magereza Wameshakula tunakwenda kulala na njaa siku zote.. Hawa vijana wanakonda kila Siku hata kusikiliza kesi ni geresha.. Ni hayo tu.."

--
Freeman Mbowe: Mheshimiwa Jaji naomba kuleta Kwenye Mahakama yako kuwa tumekosa haki ya kula chakula mchana kwa Miezi 5, Wakati nyie Mna' break kwenda kula sisi hatupati chakula wala maji kwa miezi Yote 5

Pale mwanzo tuliambiwa kuwa kama chakula tuchukue Kutoka Jela, tutoke nacho Jela tuje nacho Mahakamani, tukitoka hapa tunakutana Magereza Wameshakula tunakwenda kulala na njaa siku zote. Hawa vijana wanakonda kila Siku hata kusikiliza kesi ni geresha.. Ni hayo tu.

Jaji: sasa nyie Kibatala mnatoa uwakilishi gani hapa Mahakamani kama wateja wenu hawali miezi mitano?

Kibatala: Sisi tulifikisha kwa Officer wa Magereza, Suluhu aliyotoa ndiyo hiyo asubuhi watoke na chakula Kutoka Jela Kitu ambacho tulibishana na hatukufikia Muafaka kwa sababu haiwezekani. Nafikiri hata Msajili Wa Mahakama analijua hilo, sitaki kumsemea.

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Kwa Mujibu Wa Jambo lililoletwa naomba Tubreak Kidogo tuweze Kuishauri Vyema Mahakama. Imekuwa ghafla sana.

Jaji: Basi nawaita Mawakili kuwakilisha Watu wote Ofisini Kwangu, Tuweze Kujadili

Hii ni Taarifa mbaya kuisikia.kwani utaratibu wa mahabusu wengine wanaohudhuria kesi mahakamani huwa inakuwaje suala la chakula cha mchana? Tusiangalie tuu hawa akina mbowe,twende mbali zaidi.

Je nao huwa wanatembea na ugali kwenye hotpoti wakiwa mahakamani.ni kweli kwamba ugali wao husongwa alfajiri ili waondoke nao kwenda nao mahakamani?
 
Back
Top Bottom