THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
Friends and Enemies,
Mbowe na CHADEMA wanataka kutupeleka wapi Tena? Je, ni kweli kwamba walishazoea ile hali ya kupelekwa kibabe na mwendazake na wameikumbuka kisha wameanza kutingisha kibiriti?
Katiba mpya ni suala la mchakato, ni suala mtambuka na jumuishi kwa makundi mbali mbali ndani ya nchi hii.
Wao kama wanasiasa ni kundi moja tuh wenye maslahi yao na katiba hii, na maslahi yao kama chama cha siasa ni kushika Dola, lakini Kuna makundi mengine meengi ambayo nayo yana maslahi yao vile vile kama wao, sasa iweje wao walishikie bango kwa kiasi hiko hadi kutishia kuingia barabarani kufanya fujo?
Rais Samia kaahidi na kaomba apewe muda, hawataki na wanataka kulazimisha.
Magufuli hakuahidi, na alisema siyo kipaumbele chake, waliufyata na kukaa kimya, sasa tunawauliza wanataka KUMKWAMISHA huyu mama kwasababu gani?
Kwa kuwa ni Muislam au kwa kuwa ni mwanamke?
Wana ajenda gani kwani.
Mbowe na CHADEMA wanataka kutupeleka wapi Tena? Je, ni kweli kwamba walishazoea ile hali ya kupelekwa kibabe na mwendazake na wameikumbuka kisha wameanza kutingisha kibiriti?
Katiba mpya ni suala la mchakato, ni suala mtambuka na jumuishi kwa makundi mbali mbali ndani ya nchi hii.
Wao kama wanasiasa ni kundi moja tuh wenye maslahi yao na katiba hii, na maslahi yao kama chama cha siasa ni kushika Dola, lakini Kuna makundi mengine meengi ambayo nayo yana maslahi yao vile vile kama wao, sasa iweje wao walishikie bango kwa kiasi hiko hadi kutishia kuingia barabarani kufanya fujo?
Rais Samia kaahidi na kaomba apewe muda, hawataki na wanataka kulazimisha.
Magufuli hakuahidi, na alisema siyo kipaumbele chake, waliufyata na kukaa kimya, sasa tunawauliza wanataka KUMKWAMISHA huyu mama kwasababu gani?
Kwa kuwa ni Muislam au kwa kuwa ni mwanamke?
Wana ajenda gani kwani.