CHADEMA yazidi "Kukunwa" na uongozi wa Rais Samia, sasa zamu ya Salum Mwalimu, ammwagia sifa kufanikisha maridhiano

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,009
20,683
CHADEMA wameona haina haja ya kusubiri mawe yaseme, wanasema wenyewe, ilikuwa Mbowe, sasa ni zamu ya Salum Mwalimu. Kuliko abane kikohozi kimpalie, kaona bora aseme.

Kiongozi huyu wa ngazi ya kitaifa, amemwaga sifa kwa Rais Samia kufanikisha maridhiano. Hakika Rais Samia ni kiongozi bora anayekubalika na makundi yote ya kisiasa. Ni suala la finishing tu 2025.

Kauli hii inawaponda wale waliokuwa wanasema maridhiano hayana faida na hayana mafanikio.

Screenshot_20240103-185131.jpg
 
Zitto, Mbowe ni madalali wa siasa za Tz!!. Wenye akili timamu tulishagundua chadema ni kikosi kazi chakudangya wtz kwa mgongo wa upinzani.

#Mbowe atupishe chamani.
 
Chadema wameona haina haja ya kusubiri mawe yaseme, wanasema wenyewe, ilikuwa Mbowe, sasa ni zamu ya Salum Mwalimu. Kuliko abane kikohozi kimpalie, kaona bora aseme.

Kiongozi huyu wa ngazi ya kitaifa, amemwaga sifa kwa Rais Samia kufanikisha maridhiano. Hakika SSH ni kiongozi bora anayekubalika na makundi yote ya kisiasa. Ni suala la finishing tu 2025.

Kauli hii inawaponda wale waliokuwa wanasema maridhiano hayana faida na hayana mafanikio.
View attachment 2861116
Huu ni mwanzo mzuri sana kwa Chadema, ambapo sasa Chadema is undergoing transformational metamorphosis from chama cha kiharakati into chama tawala in waiting.
P
 
Chadema wameona haina haja ya kusubiri mawe yaseme, wanasema wenyewe, ilikuwa Mbowe, sasa ni zamu ya Salum Mwalimu. Kuliko abane kikohozi kimpalie, kaona bora aseme.

Kiongozi huyu wa ngazi ya kitaifa, amemwaga sifa kwa Rais Samia kufanikisha maridhiano. Hakika SSH ni kiongozi bora anayekubalika na makundi yote ya kisiasa. Ni suala la finishing tu 2025.

Kauli hii inawaponda wale waliokuwa wanasema maridhiano hayana faida na hayana mafanikio.
View attachment 2861116
Hivi hawa kina Michuzi mbona wana damu ya uchawa-chawa tu? Kuna familia nyingine ni kama laana hivi. Michuzi li-blog lake ndilo lililukuwa linaongoza kwa kupitiwa na watu wengi miaka hiyo lakini uchawa ukampoza na likamfia kifo cha mende.
 
Hivi hawa kina Michuzi mbona wana damu ya uchawa-chawa tu? Kuna familia nyingine ni kama laana hivi. Michuzi li-blog lake ndilo lililukuwa linaongoza kwa kupitiwa na watu wengi miaka hiyo lakini uchawa ukampoza na likamfia kifo cha mende.
Bado yuko vizuri, lile blogu lilijaa mapicha tu, ukizingatia fani yake,sasa hivi anaenda kwa weledi mkubwa sana
 
Chadema wameona haina haja ya kusubiri mawe yaseme, wanasema wenyewe, ilikuwa Mbowe, sasa ni zamu ya Salum Mwalimu. Kuliko abane kikohozi kimpalie, kaona bora aseme.

Kiongozi huyu wa ngazi ya kitaifa, amemwaga sifa kwa Rais Samia kufanikisha maridhiano. Hakika SSH ni kiongozi bora anayekubalika na makundi yote ya kisiasa. Ni suala la finishing tu 2025.

Kauli hii inawaponda wale waliokuwa wanasema maridhiano hayana faida na hayana mafanikio.
View attachment 2861116

Acheni uongo, mnakimbia mbio kuweka vihabari vya uongo. Yeye aliongelea kuhusu 4R, Sasa CHADEMA wameingiaje hapo?
 
Zitto, Mbowe ni madalali wa siasa za Tz!!. Wenye akili timamu tulishagundua chadema ni kikosi kazi chakudangya wtz kwa mgongo wa upinzani.

#Mbowe atupishe chamani.

Mbowe atapisha. Ila hiyo taarifa ni ya uongo kabisa. Shida siku hizi JF hakuna ukweli. Mtu anaweka taarifa ya uongo halafu inaachwa. Salimu Mwalimu alihudhuria Kama mchokoza mada kuhusu 4R. Na kaonesha wasiwasi wake.
 
Huu ni mwanzo mzuri sana kwa Chadema, ambapo sasa Chadema is undergoing transformational metamorphosis from chama cha kiharakati into chama tawala in waiting.
P

tatizo lako huwa unajifanya unajua siasa wakati sio kweli. Fundisha watu unachoishi. Wewe ulipata kura moja kwenye kura za maoni jimboni Kawe, ila unajifanya nguli wa siasa. Saa zingine jifunze kukaa kimya.
 
Back
Top Bottom