Pole sana Dada!Regia siwezi siwezi mama kuendelea kuona watu wako wakibubujikwa machozi.
Nasikia mengi wanayokusema.
Sasa tunakuona uso wako kwa mara ya mwisho,imebaki historia.
Watu wanajipanga kutoa salamu za mwisho,mvua inanyesha kidogo.
Please open you eyes just foa minute Regia.
Nakulilia mama,niliumia hivi siku baba yangu mzazi aliponitoka.
Noooooo!
Ibada imeanza.
Jamani wanaJF,
Josephine anaelekea kuziba pengo la marehemu Regia angalau katika shughuli hii nzito na ya huzuni kubwa. Namwomba aendelee na moyo huu mkuu.
Pole sana Dada!
Lila Josephine lia! Kilio kinapunguza maumivu kuliko kugugumia.
Maandiko ya Mungu yametimia. "Sote tumetoka kwake na kwake tutarejea".
Dada yetu Regia ametangulia nasi tuko nyuma yake.
Inauma lakini ndio ukweli, kuwa kifo chake kimetuunganisha zaidi na kutufanya tulio hai bado tutafakari thamani ya maisha na wajibu wetu katika maisha. Marehemu Regia aliyatimiza yote mawili na ametuwachia mafundisho makubwa kwa anayetaka kujifunza, kuwa "Mtu hathaminiwi kwa alichonacho bali kwa alivyo".
Mungu Amlaze Mahali Pema - Amen!
JK tayari yuko makaburini anasubiri kuupokea mwili na kuwaongoza umati wa Watanzania katika maziko!.Mkuu wa kaya keshakuja?Au anasubiri matanga ndio aje?
Vipi mwakilishi wa Papa Balozi wa Vatican yupo huko?
Na vipi salam toka kwa mwakilishi wa CDU ?
JK tayari yuko makaburini anasubiri kuupokea mwili na kuwaongoza umati wa Watanzania katika maziko!.
Naibu spika Ndugai anatafakari, anasikitika ama ameuchapa?
Regia siwezi siwezi mama kuendelea kuona watu wako wakibubujikwa machozi.
Nasikia mengi wanayokusema.
Sasa tunakuona uso wako kwa mara ya mwisho,imebaki historia.
Watu wanajipanga kutoa salamu za mwisho,mvua inanyesha kidogo.
Please open you eyes just foa minute Regia.
Nakulilia mama,niliumia hivi siku baba yangu mzazi aliponitoka.
Noooooo!
Vipi mwakilishi wa Papa Balozi wa Vatican yupo huko?
Na vipi salam toka kwa mwakilishi wa CDU ?
Kawaida yao kulala.
Hao ndio kawaida yao kulala.
View attachment 45627