Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,026
- 132,771
Ameshafika anasubiri misa iishe ndipo aje kuwaongoza Watanzania kwenye maziko.As long shughuli za mazishi zimeanza kabla raisi kikwete hajawasili na alikuwa anasubiriwa, nina mashaka kama ataweza kufika ifakara on time kuwahi maziko. Huenda ametingwa na majukumu mengi njiani, labda wananchi wamemsimamisha mahala wanamwaga kero zao.
Msafara wake haukusimama popote zaidi ya wananchi kujitokeza kwa wingi vipembezoni mwa barabara wengine wakishangaa shangaa wengine wakimpungia mikono kuonyesha furaha zao kwa rais wao akipita mitaa yao!.