Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,933
- 4,706
WanaJF
nimesikia concern zenuzenu. Tunaomba radhi kwa usumbufu. Nimekwenda mwenyewe kwa wenye mitambo na nimekuta wakihangaika na network. Tunatambua umuhimu wa kuwajuza kinachojiri. Tutaendelea kuboresha mitambo. Nashukuru baada ya picha zimeanza ku postiwa. Tunawashukuru wana JF na wapenzi wote wa Regia kwa ushiriki wa kina kumsindikiza mpendwa wetu.
.
Ee bana ee, kumbe rais wa mioyo ya watanzania yupo mitaa hii? Saafi sana.
RIP bint Abraham, Regie!
.