Network inasumbua,lakini hatimae tumemuingiza kwenye nyumba yake ya milele.
Josephine,
Shukrani na ubarikiwe.
R.I.P Dada Regia.
Network inasumbua,lakini hatimae tumemuingiza kwenye nyumba yake ya milele.
Salama ndugu yangu Molemo, tunamsindikiza Dada yetu!
Kwa heri dada Regia! Pumzika kwa Amani.Network inasumbua,lakini hatimae tumemuingiza kwenye nyumba yake ya milele.
Mkuu Ngongo, Wish you were here you would have undestood what I mean!.Mkuu Pasco.
Hivi Gaddaf aliangwa kwa siku ngapi vile ?.Tuache watu watoe heshima za mwisho bila kuingiza Itikadi za dini.
Network inasumbua,lakini hatimae tumemuingiza kwenye nyumba yake ya milele.
Tumtie moyo dada yetu ingawa kwa position yake inahitaji bidii ya ziada, ahsante saana kwa updates!!!!!!!!!Kumekucha, maandalizi ya safari ya mwisho yanaendelea, salamu na ibada vitafanyika katika viwanja vya kiungani.
Watu ni wengi kwelikweli mabasi yanashusha watu kwa wingi sana.
PICHA: Jinsi tulivyopokelewa
![]()
![]()
![]()
kesho kama kazi, maisha burdani.
pole sana mkuu,tumeumia wengi sana
Kwa sababu wafu hawajui lolote hivyo hawezi kona wala kusikia kwa maana kuwa file la maisha yake hapa duniani limeisha fungwa. La msing siye wafu watarajiwa tutengeneze njia zetu na kusafisha mapito ya Bwana.Kwa kweli nafarijika sana kuona ni namna gani Dada Regia aligusa maisha ya watu. Tangu taarifa ya kifo chake kutolewa, wananchi wengi sana wamejitokeza kumtakia pumziko la amani. Naamini hata familia yake inafarijika kwa maisha ya binti yao, kwani kwa umati unaojitokeza kumsindikiza tangu kule Tabata, Karimjee na sasa huko Ifakara, ni wazi kuwa Regia alikuwa ni kipenzi cha wengi. Huenda hata huko alikopumzika haamini anayoyaona huku duniani jinsi watu walivyompenda.
Tuzidi kumuombea kwa Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa amani na kumpatia raha ya milele. Amevipiga vita vilivyo vema na kuvimaliza, anastahili pumziko.
Ulale vema Dada Regia, tutakukumbuka.
Mkuu Pasco.
Hivi Gaddaf aliangwa kwa siku ngapi vile ?.Tuache watu watoe heshima za mwisho bila kuingiza Itikadi za dini.
Nenda na pumzika kwa amani dada Regia Heroes never die, their legacy is a living memory!Familia,Mzee wa kaya na viongozi,wameweka mchanga kwenye kaburi.
Regia,
why, why umeamua kulala bila kuamka,?
regia hata hawa watu wote,uwaoni?
Regia it is not fare,tazama unawekewa mfuniko mzito,hata mimi sitaweza kuufunua!
Please come out.
Regia,
why, why umeamua kulala bila kuamka,?
regia hata hawa watu wote,uwaoni?
Regia it is not fare,tazama unawekewa mfuniko mzito,hata mimi sitaweza kuufunua!
Please come out.
Asante pole na wewe! You know nimekuwa nikisoma tu natokwa na machozi nashindwa hata ku-comment mpaka muda huu ndiyo nimeweza ku-comment kidogo.
Regia,
why, why umeamua kulala bila kuamka,?
regia hata hawa watu wote,uwaoni?
Regia it is not fare,tazama unawekewa mfuniko mzito,hata mimi sitaweza kuufunua!
Please come out.
Regia,
why, why umeamua kulala bila kuamka,?
regia hata hawa watu wote,uwaoni?
Regia it is not fare,tazama unawekewa mfuniko mzito,hata mimi sitaweza kuufunua!
Please come out.
Sasa nawe Kabakabana si ungeomboleza kwa avatar nyingine aa!machozi hayaniishi jamani mwee Regia wetu huyoo kaenda