Mazishi ya Mh. Regia Mtema huko Ifakara (updates)

Mazishi ya Mh. Regia Mtema huko Ifakara (updates)

ifakara.jpg
 
WanaJF
nimesikia concern zenuzenu. Tunaomba radhi kwa usumbufu. Nimekwenda mwenyewe kwa wenye mitambo na nimekuta wakihangaika na network. Tunatambua umuhimu wa kuwajuza kinachojiri. Tutaendelea kuboresha mitambo. Nashukuru baada ya picha zimeanza ku postiwa. Tunawashukuru wana JF na wapenzi wote wa Regia kwa ushiriki wa kina kumsindikiza mpendwa wetu.

ahsante sana mkuu,na pole sana.
 
Huyu Mtoto ana bahati sana kuzikwa kwa jinsi hii ni baraka sana Mvua kikwetu inaashiria kwamba njia ni nyeupe hana doa mara nyingi inatoke wakati wakuzika machifu
 
WanaJF
nimesikia concern zenuzenu. Tunaomba radhi kwa usumbufu. Nimekwenda mwenyewe kwa wenye mitambo na nimekuta wakihangaika na network. Tunatambua umuhimu wa kuwajuza kinachojiri. Tutaendelea kuboresha mitambo. Nashukuru baada ya picha zimeanza ku postiwa. Tunawashukuru wana JF na wapenzi wote wa Regia kwa ushiriki wa kina kumsindikiza mpendwa wetu.

Mh. Dr. Slaa,

Tumekupata vizuri kiongozi wetu, tunashukuru hata hivyo kwamba picha zimeshaanza kumiminika hapa.

Nasi tunafarijika kumuaga mpendwa wetu, japo hatupo eneo la tukio.
 
Kuna sifa ya ziada ya Regia nimeipata hapa Ifakara. Regia alikuwa na political tolarance ya hali ya juu na ali manage vizuri politcal divesity kwa kushirikiana vyema na CUF na vyama vingine vya upinzani ambapo Diwani wa Cuf amekiri kufanyiwa kampeni na Regia ndiko kulikompatia udiwani.
 
safi sana, uzur chadema ustarabu na kuelewana ndo hulka ye2. Alafu dada naomba hzo pcha ztengenezewe kalenda ya mwaka huu ili makamanda nch nzma japo washudia na kumuenz ktk kuta za nyumba zetu na maofcn au unaonaje.

Unataka kutuaminisha wale wote walioshiriki msiba wa Regia Mtema, ni Chadema?
 
safi sana, uzur chadema ustarabu na kuelewana ndo hulka ye2. Alafu dada naomba hzo pcha ztengenezewe kalenda ya mwaka huu ili makamanda nch nzma japo washudia na kumuenz ktk kuta za nyumba zetu na maofcn au unaonaje.

nakubaliana na wewe mkuu

sina chama lakini kwa hili msininyime hizo picha na kalenda kwani huyu ni mwanaharakati mwenzetu
 
Pole na wewe Mwana wa Ayoub..!!

haha.................. kumbe na wewe uliuona ule uzi wa bibi arusi??? ................. i mean MJ................... masikini, najua atatoka fungate na kukuta msiba hapa.................. wakuu Kimey na binti Ayubu, poleni sana..................
 
Back
Top Bottom