sunshine1
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 539
- 289
I can imagine what your going through my dear.
Binafsi sikuwahi kumuona Rejia uso kwa uso ila uwepo wake hapa Jf ulinifanya nijione kama ni ndugu tunayefahamiana kwa karibu. Kila nikifungua Jf najikuta nalia uncontrollably! Sasa wewe uliyekuwa naye karibu naweza kupata picha how hard it is! Mungu akupe nguvu yakuendelea mbele mama.
RIP - Regia!
Binafsi sikuwahi kumuona Rejia uso kwa uso ila uwepo wake hapa Jf ulinifanya nijione kama ni ndugu tunayefahamiana kwa karibu. Kila nikifungua Jf najikuta nalia uncontrollably! Sasa wewe uliyekuwa naye karibu naweza kupata picha how hard it is! Mungu akupe nguvu yakuendelea mbele mama.
RIP - Regia!
Regia tunakusindikiza kwa mara ya mwisho leo,
moyoni nabubujikwa machozi,kumbuka mama yale tuliyozungumza na kuyawekea mikakati.
Regia nani atanisaidia kuyasimamia yale tuliyoyaongea,nisaidie mama,nitafanya,lakini wewe ndiye yalikuwa maono yako,nisaidie huko uliko.
Dr anakulilia,watoto wangu nyumbani wanakulilia,hata dada aliyekuwa anakuhudumia anakulilia.
Tulikupenda.