Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,009
- 142,680
Umati wa waombolezaji unapita kwenye heshima za mwisho.
Jamani Wakristo wenzangu, lazima tufike mahali tukubali tukatae, wenzetu Waislamu wametuzidi kidogo katika ustaarabu wa taratibu za heshima za mwisho kwa kuaga bila kuangalia mwili!.
Just imagine Ile Jumatatu ameagwa kwa kuangaliwa pale nyumbani Tabata. Baadae ameagwa kwa kuangaliwa pale kanisani kwenye misa!. Jana tumemuaga kwa kumwangalia pale Karimjee!. Leo pia ameagwa tena kwa kuangaliwa hapa Ifakara!.
My own opinion, its more than enough, baada ya kuagwa na familia kwa kumwangalia, the rest wangepita tuu mbele ya jeneza kwa heshima na mwisho huku wakiangalia ile picha ya smiling innocent baby face yake ndio ikabaki kama kumbukumbu yetu ya mwisho ya Regia!.
Sasa imetosha na kupitiliza, tumpumzishe shujaa wetu apumzike kwa amani!.
Pumzika Regia!.
Kweli kabisa!