Mazishi ya Mh. Regia Mtema huko Ifakara (updates)

Mazishi ya Mh. Regia Mtema huko Ifakara (updates)

Umati wa waombolezaji unapita kwenye heshima za mwisho.
Jamani Wakristo wenzangu, lazima tufike mahali tukubali tukatae, wenzetu Waislamu wametuzidi kidogo katika ustaarabu wa taratibu za heshima za mwisho kwa kuaga bila kuangalia mwili!.

Just imagine Ile Jumatatu ameagwa kwa kuangaliwa pale nyumbani Tabata. Baadae ameagwa kwa kuangaliwa pale kanisani kwenye misa!. Jana tumemuaga kwa kumwangalia pale Karimjee!. Leo pia ameagwa tena kwa kuangaliwa hapa Ifakara!.

My own opinion, its more than enough, baada ya kuagwa na familia kwa kumwangalia, the rest wangepita tuu mbele ya jeneza kwa heshima na mwisho huku wakiangalia ile picha ya smiling innocent baby face yake ndio ikabaki kama kumbukumbu yetu ya mwisho ya Regia!.

Sasa imetosha na kupitiliza, tumpumzishe shujaa wetu apumzike kwa amani!.

Pumzika Regia!.

Kweli kabisa!
 
Mbona jana pale karimjee john magale shibuda alikua mzima? Inawezekana anataka aonekane tofauti
 
Mkuu Pasco.

Hivi Gaddaf aliangwa kwa siku ngapi vile ?.Tuache watu watoe heshima za mwisho bila kuingiza Itikadi za dini.


Umati wa waombolezaji unapita kwenye heshima za mwisho.
Jamani Wakristo wenzangu, lazima tufike mahali tukubali tukatae, wenzetu Waislamu wametuzidi kidogo katika ustaarabu wa taratibu za heshima za mwisho kwa kuaga bila kuangalia mwili!.

Just imagine Ile Jumatatu ameagwa kwa kuangaliwa pale nyumbani Tabata. Baadae ameagwa kwa kuangaliwa pale kanisani kwenye misa!. Jana tumemuaga kwa kumwangalia pale Karimjee!. Leo pia ameagwa tena kwa kuangaliwa hapa Ifakara!.

My own opinion, its more than enough, baada ya kuagwa na familia kwa kumwangalia, the rest wangepita tuu mbele ya jeneza kwa heshima na mwisho huku wakiangalia ile picha ya smiling innocent baby face yake ndio ikabaki kama kumbukumbu yetu ya mwisho ya Regia!.

Sasa imetosha na kupitiliza, tumpumzishe shujaa wetu apumzike kwa amani!.

Pumzika Regia!.
 
Umati wa waombolezaji unapita kwenye heshima za mwisho.
Jamani Wakristo wenzangu, lazima tufike mahali tukubali tukatae, wenzetu Waislamu wametuzidi kidogo katika ustaarabu wa taratibu za heshima za mwisho kwa kuaga bila kuangalia mwili!.

Just imagine Ile Jumatatu ameagwa kwa kuangaliwa pale nyumbani Tabata. Baadae ameagwa kwa kuangaliwa pale kanisani kwenye misa!. Jana tumemuaga kwa kumwangalia pale Karimjee!. Leo pia ameagwa tena kwa kuangaliwa hapa Ifakara!.

My own opinion, its more than enough, baada ya kuagwa na familia kwa kumwangalia, the rest wangepita tuu mbele ya jeneza kwa heshima na mwisho huku wakiangalia ile picha ya smiling innocent baby face yake ndio ikabaki kama kumbukumbu yetu ya mwisho ya Regia!.

Sasa imetosha na kupitiliza, tumpumzishe shujaa wetu apumzike kwa amani!.

Pumzika Regia!.

Tatizo la nyie waswahili sio wastaarabu ndo maana jana mshika mike alikuwa anawaambia wale walio aga kanisani wawapishe wale ambao hawakupata nafasi ya kuaga kanisani sasa utaona na leo wewe Pasco juzi kanisani uliaga jana Karimjee uliaga na leo tena Ifakara unaaga tena badala ya kuwaachia nafasi wakazi wa Ifakara na vitongoji vyake watoe heshima za mwisho nyie mnawabania nafasi kwa kupanga nanyi foleni msururu unakuwa mrefu kuweni wastaraabu waswahili.
 
Umati wa waombolezaji unapita kwenye heshima za mwisho.
Jamani Wakristo wenzangu, lazima tufike mahali tukubali tukatae, wenzetu Waislamu wametuzidi kidogo katika ustaarabu wa taratibu za heshima za mwisho kwa kuaga bila kuangalia mwili!.

Just imagine Ile Jumatatu ameagwa kwa kuangaliwa pale nyumbani Tabata. Baadae ameagwa kwa kuangaliwa pale kanisani kwenye misa!. Jana tumemuaga kwa kumwangalia pale Karimjee!. Leo pia ameagwa tena kwa kuangaliwa hapa Ifakara!.

My own opinion, its more than enough, baada ya kuagwa na familia kwa kumwangalia, the rest wangepita tuu mbele ya jeneza kwa heshima na mwisho huku wakiangalia ile picha ya smiling innocent baby face yake ndio ikabaki kama kumbukumbu yetu ya mwisho ya Regia!.

Sasa imetosha na kupitiliza, tumpumzishe shujaa wetu apumzike kwa amani!.

Pumzika Regia!.
Kweli kabisa,
mimi nimeshaanza, huwa siendi kutoa heshima za mwisho mara kwa mara, kwa kwenda kuangalia mwiili, pia huwa ninaloby mazishi ya karibu huwa tunaweka picha kubwa na inatosha kabisa, bila kufunia jeneza mara kwa mara. mie mwenyewe sitaagwa kwa kuangaliwa na kila mtu, nishawaambia home, wanamind lakini ndio hivyo, jambo zuri kwa nini lisiwe utamaduni wetu?
 
Asante sana kwa taarifa Mungu azidi kuwatia nguvu dah! Raha ya milele umpe eebwana! Nenda dada hatuna jinsi ila tuna majonzi makubwa moyoni tunamwomba Mungu akurehemu na akupokee katika ufalme wake.
 
Pasco,

Mkuu wa kaya hakwenda uwanjani ameamua kutangulia makaburini? ama shughuli zimeshakwisha uwanjani na safari ya makaburini ndiyo imeanza?
Shughuli uwanjani simekwisha na sasa ni makaburini. JK hakwenda uwanjani ametangulia makaburini. Dada Phine endelea kutujuza ya huko mbele wametuwekea uzio wa kamba sisi akina yakhe tusikaribie hapo mbele!.
 
Umati wa waombolezaji unapita kwenye heshima za mwisho.
Jamani Wakristo wenzangu, lazima tufike mahali tukubali tukatae, wenzetu Waislamu wametuzidi kidogo katika ustaarabu wa taratibu za heshima za mwisho kwa kuaga bila kuangalia mwili!.

Just imagine Ile Jumatatu ameagwa kwa kuangaliwa pale nyumbani Tabata. Baadae ameagwa kwa kuangaliwa pale kanisani kwenye misa!. Jana tumemuaga kwa kumwangalia pale Karimjee!. Leo pia ameagwa tena kwa kuangaliwa hapa Ifakara!.

My own opinion, its more than enough, baada ya kuagwa na familia kwa kumwangalia, the rest wangepita tuu mbele ya jeneza kwa heshima na mwisho huku wakiangalia ile picha ya smiling innocent baby face yake ndio ikabaki kama kumbukumbu yetu ya mwisho ya Regia!.

Sasa imetosha na kupitiliza, tumpumzishe shujaa wetu apumzike kwa amani!.

Pumzika Regia!.
Mwalimu aliagwa kwa siku nyingi tu na huyu binti ameonekana kuwa na mvuto kwa watu kama Mwalimu.
 
Mvua inanyesha kweli kweli mchana huu hapa Ifakara, barabara yote imefungwa ya kwenda Mahenge..Watu kibao
 
Umati wa waombolezaji unapita kwenye heshima za mwisho.
Jamani Wakristo wenzangu, lazima tufike mahali tukubali tukatae, wenzetu Waislamu wametuzidi kidogo katika ustaarabu wa taratibu za heshima za mwisho kwa kuaga bila kuangalia mwili!.

Just imagine Ile Jumatatu ameagwa kwa kuangaliwa pale nyumbani Tabata. Baadae ameagwa kwa kuangaliwa pale kanisani kwenye misa!. Jana tumemuaga kwa kumwangalia pale Karimjee!. Leo pia ameagwa tena kwa kuangaliwa hapa Ifakara!.

My own opinion, its more than enough, baada ya kuagwa na familia kwa kumwangalia, the rest wangepita tuu mbele ya jeneza kwa heshima na mwisho huku wakiangalia ile picha ya smiling innocent baby face yake ndio ikabaki kama kumbukumbu yetu ya mwisho ya Regia!.

Sasa imetosha na kupitiliza, tumpumzishe shujaa wetu apumzike kwa amani!.

Pumzika Regia!.

Pasco,

Ni kweli that's your opinion lakini huwezi kutarajia wakristo waendeshe mambo yao kwa kuangalia waislamu wanafanya nini.

Kila watu wana taratibu zao kwa mujibu wa mafundisho yao na vitabu vyao vitakatifu wanavyovitumia.

Inawezekana wewe umeshamuaga mara kadhaa na umejiridhisha, je kwa wale ambao hawjapata nafasi ya kumuaga unadhani ni fair kunyimwa nafasi hiyo? Huyu ni mtu wa watu, acha watu wamuage mtu wao kadri wanavyoweza mkuu.

Btw, unapata shida gani kwa mwili wa marehemu kutazamwa mara nyingi kadri iwezekanavyo katika maeneo tofauti kama ulivyoyataja?
 
Kwa heshima na kumbukumbu ya kudumu kwa Regia, CDM wafikirie kuanzisha kitu kwa jina lake.
Napendekeza ianzishwe Taasisi ya Uongozi ya Vijana ya Regia Mtema (Regia Mtema Youth Leadership Institute) au Wakfu wa Maendeleo ya Regia Mtema (Regia Mtema Development Foundation). Supporters and Wellwishers wa CDM wachangie hata elfu moja kila mwaka.
 
Familia,Mzee wa kaya na viongozi,wameweka mchanga kwenye kaburi.
 
Kweli kabisa wakuu maana hawa watu ni kawaida yao kuchapa usingizi wakati matukio muhimu yakiendelea.

Mzee Wassira leo amejitahidi, anaonekana anachat na mama Ghasia wakati Ndugai anasikilizia piriton.
attachment.php
Niseme yaliyo moyoni mwangu. Nguo nyeusi kwa msiba wa binti huyu aliyekuwa na moyo mweupe namna hii sikuzipenda.
 
Pasco usiende mbali, muulize jaji edward mwesiumo juu hilo. Regia ameandika historia mkoa wa moro
 
Back
Top Bottom