Mauaji ya watu 3 Ilala - Dar

Mauaji ya watu 3 Ilala - Dar

kwakweli hapo patam i real nawachukia hawa wadada mbayaaaaaaaaa na penyewe cjawahi penda .......mi mgegedo kwa ku go front.
 
wewe hivi umesoma kilichoandikwa au umekurupuka toa usingizini..kawatwangwa wote sasa watapetea wapi au ulikuwa unamaanisha watapetea kuzimu

Nafikiri hata wewe umekurupuka kidogo mkuu habari ni kuwa jamaa na msichana wake wamepona hivi sasa wapo MOI wanapewa matibabu daraja la kwanza hivyo wamepona ingawa cha moto wamekiona. Na kama wanatabia hizi ni wazi watamwagana tu

Soma hapa : Mauaji Dar - Kitaifa - mwananchi.co.tz
 
Maamuzi mengine si sahihi lakini kwa hili Gabriel ameumizwa sana (nadhan akili yake iliruka) ..kama ishawahi kukutokea utakuwa unajua maumivu yake..Apumzike kwa Aman
 
Vijana wanapotea kwa sababu akili zao zipo kwenye mapenzi hawafikirii zaidi ya mapenzi ya siku hizi ni mapenzi ya uongo hayan ukweli kabisa watamalizika wengi kwa ujinga wao kuendekeza wivu wakupindukia kupita kiasi mapenzi gani ya kupigana risasi?

Mimi sipendi kulazimisha Mapenzi na

ninamuomba Mungu anilinde nisifike hatua kama ya huyo kijana aliye amuwa kuuwa na yeye mwenyewe kujiuwa kuna faida

gani ya kuuwa na wewe mwenyewe kujiiuwa? Kama mwanamke wako au mke wako au Mpenzi wako hakutaki muache tafuta

Mwanamke mwengine wako wengi wapenzi wa kike na wa kiume. Mpenzi wako akikuona wewe ni wa nini wengine wanasema

watakupata lini.Mapenzi ya kulazimishana mimi huwa siyapendi kabisa nikiwa na mpenzi wangu au mke wangu huwa

ninamuambia ukweli ikiwa unaona mimi sifai kuwa mpenzi wako au mume wako niambie ukweli nikuache ukatafute unaye mpenda. Bora kutokuwa na mpenzi kuliko kuwa na mpenzi mwenye mauzi.

mia mkuu,sijui vijana wetu wanafikiri nini tu,hivi wanadhani risasi ndo itawafanya wapendwe?ukisha kufa una faida gani,si unabaki mzoga tu huna thamani hata ya kushikwa kwa mikono,inakuwa mwendo wa gloves tu.lazima watambue kifo sio kupumzika wala kuepukana na maudhi.kuna maisha pia baada ya kifo."dead are not dead,they are the living dead"
 
Ushauri kwa serikali yetu hii sikivu.......kila raia wa Tanzania anayemiliki silaha ya moto apimwe akili marambi kwa mwaka yaani Januari na Julai ili kutambua kama anastahili kuendelewa kuaminiwa kukaa na hicho chombo. Zoezi hili lisibagua raia kwa vyeo au uwezo wao wa kifedha
 
Huu mimi huwa nauita ufala ulitukuka..! Eti unamsomesha demu ili baadaye uje kumuoa? Kwa nini usimuoe ndo ukamsomesha? Mimi demu wangu nilimdunga sindano ya mimba kwanza, kanizalia kidume ndo nikamusomesha. Baada tu ya masomo yake ya masters nikamdunga mimba ya babe gal..! Sasa namsomesha PHD..! Hapo hata akipata kidume kingine poa tu..! Nina uhakika atalea watoto wake..!
 
Umenena yaani kwa sasa ishi na demu kwa akili sana maana wao wanajifanya wajanja nendakichwakichwa uone yaani umendika point
 
Kwa mujibu wa magazeti ya Leo hii stori inaendana na ya U4 kwa kiasi kikubwa sana,kama mtoa mada alivyodokeza,mtu asome Mwananchi au Habari Leo atathibitisha hilo,ni kwamba hata Mama wa Bint alimtetea bintiye,inaonesha bint alisema ana safar ya Kilimanjaro,jamaa baada ya kumpigia simu mama wa Bint mama nae akasapoti,so wamama nao wanapaswa kuwa makini,inaonesha mama wa bint anaujua uhusiano wa Christine na Munisi vizuri tu ila sasa tamaa nao wamama zimewashika,huenda mchumba mpya hakuyajua hayo,na kama hakuyajua hayo(huyo raia wa kenya) kuna uwezekano nae akitoka hospitali atabwaga manyanga pia
 
Kiukweli na sisi wanaume tumezidi kuwekeza nguvu na pesa nyingi sana kwa mwanamke ambaye ni mchumba tu na pengine kidume una mke halali alafu unatumia pesa kibao kisa nyapu za nje ukigeukwa unapagawa hasa mapesa uliyotupa.

Kuna bint alinambia kama unataka kuwa na mimi,nipangie chuma na uwe unanihudumia as Mchumba kwa mahitaj yote muhimu,na hapo ndipo nilipoamua hata kuifuta namba yake,
kirahirahisi tu hivi nikupangie chumba n then.....
 
wewe hivi umesoma kilichoandikwa au umekurupuka toa usingizini..kawatwangwa wote sasa watapetea wapi au ulikuwa unamaanisha watapetea kuzimu

mwanamke hajafa kajeruhiwa makalio cjui paja ila mpaka sasa kova hajatoa tamko km yupo hai au la...
 
Akiamua kuchomoa wakati kuna ndoa inakua mbaya zaidi.
Hii mambo ya kutumia hisia za watu kwa manufaa binafsi kisha kuja kukataa ina madhara yasiyopimika.
Akiamua kuchomoa wakati kuna ndoa inakua mbaya zaidi.
Hii mambo ya kutumia hisia za watu kwa manufaa binafsi kisha kuja kukataa ina madhara yasiyopimika.
Very well said RR,yaani King'asti maumivu ya hii kitu ni mabya kuliko unvyofikiria ukishaoa,kumbuka umeshagharamia yote hayo,mmeshazaa watoto halafu mtu anakuja kuleta kashfa na dharau,mbaya zaidi ukute kapata kazi inayomlipa vizuri kukupita wewe,mbona utajuta kuzaliwa,jamaa yangu mmoja aliambiwa,'kwani nilikutuma unisomeshe'!
 
Mwanamke hana Dhamana na Sisi Wanaume Tumezidi UBWEGE NAZI ( UJINGA ) acha tu Akina Dada Watutese na Watupelekeshe Watakavyo! Unaacha Kumsomesha Ndugu Yako wa Damu Unahangaika Kumgharamikia Demu TENA WENGINE HUWA MNANIBOA KWELI KWANI UTAKUTA DEMU HAKUTAKI LAKINI WEWE UNAKOMAA TU. Acha MTESWE TU MALOFA WAKUBWA NYIE! Mimi Niliacha KUPENDA RASMI MWAKA 2010 na Sasa UKINIONA na DEMU UJUE NAMDANGANYA TU NA NAKWENDA KUMBATUA KISHA NAHAMISHA KAMBI. Mwanamke hata Umpe Nini na Hata UMSUGUE VIPI bado tu ATAGONGWA NJE na MASELA na KIBAYA ZAIDI MASELA WA SIKU HIZI WANAJUA KWELI KUSIMAMIA SHOW ( KUGEGEDA ) na Wengi Wao WANAGONGA * 148 * 01# OK ( KINYELEO ). Ukiwa Masikini UNAKANYAGIWA, UKIWA TAJIRI NAPO PIA UNAKANYAGIWA Hivi Nyie Dada Zangu NANI KAWAROGA? Cha Msingi Sasa ni Kuishi Kama MAFIA tu UNATAFUTA DEMU na UNAMSETI AKUZALIE MWANA, AMLEE KISHA AKIKUA TU MKUBWA MAMA ANASEPA kwa Kumpa Hata MTAJI Kisha Wewe Unaishi tu na Mwanao. DADA ZANGU MNATIA SANA HASIRA NDIYO MAANA NASI MIDUME SASA TUNAISHI KIMAGUMASHI na KIMINYATO. Badilikeni Jamani MNATUUMIZA........................................................:smile-big:
Duh.......!!!
 
Mzee wangu alishanambia USIMWAMINI MWANAMKE HATA KWA DAKIKA MOJA ...huwa inanisaidia sana :frusty:
 
Kinachoniuma tu ni kwamba hawa akina Munisi sijui Mushi hawana shabaha kabisa, yule wa juzi kati kamkosakosa huyu tena wa leo kamkosa, matokeo yake wanatangulia wanatuachia mademu tunaendelea nae. Nawashauri wachaga next time mtumie mabomu kabisa, yaani mnamalizana faster sio kuanza kurusha risasi...uoga tu huo.
 
Kuna bint alinambia kama unataka kuwa na mimi,nipangie chuma na uwe unanihudumia as Mchumba kwa mahitaj yote muhimu,na hapo ndipo nilipoamua hata kuifuta namba yake,
kirahirahisi tu hivi nikupangie chumba n then.....


Then ungeambiwa usiende bila taarifa!!!!!
 
kuna bint alinambia kama unataka kuwa na mimi,nipangie chuma na uwe unanihudumia as mchumba kwa mahitaj yote muhimu,na hapo ndipo nilipoamua hata kuifuta namba yake,
kirahirahisi tu hivi nikupangie chumba n then.....

ahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaa_tuko wengi,...mimi kapo kabinti kanasema eti nikanunue music system,..nimekatema kanalia tena,..sema mimi mwenyewe sura ya kokoto wala sijali kitu
 
Back
Top Bottom