Mauaji ya watu 3 Ilala - Dar

Mauaji ya watu 3 Ilala - Dar

Vijana wanapotea kwa sababu akili zao zipo kwenye mapenzi hawafikirii zaidi ya mapenzi ya siku hizi ni mapenzi ya uongo hayan ukweli kabisa watamalizika wengi kwa ujinga wao kuendekeza wivu wakupindukia kupita kiasi mapenzi gani ya kupigana risasi?

Mimi sipendi kulazimisha Mapenzi na

ninamuomba Mungu anilinde nisifike hatua kama ya huyo kijana aliye amuwa kuuwa na yeye mwenyewe kujiuwa kuna faida

gani ya kuuwa na wewe mwenyewe kujiiuwa? Kama mwanamke wako au mke wako au Mpenzi wako hakutaki muache tafuta

Mwanamke mwengine wako wengi wapenzi wa kike na wa kiume. Mpenzi wako akikuona wewe ni wa nini wengine wanasema

watakupata lini.Mapenzi ya kulazimishana mimi huwa siyapendi kabisa nikiwa na mpenzi wangu au mke wangu huwa

ninamuambia ukweli ikiwa unaona mimi sifai kuwa mpenzi wako au mume wako niambie ukweli nikuache ukatafute unaye mpenda. Bora kutokuwa na mpenzi kuliko kuwa na mpenzi mwenye mauzi.

powerful word mzizi mkavu,dah but this things hurt alot aisee.
 
lakini bado kuua sio solution, nadhani ni kulizika kwa kila jambo, mwanaume unatakiwa kuwa tayari kwa kila jambo...au mwanamke pia, maana yakitokea kwa upande wa pili, wanawake wao hujiua wenyewe bila kumdhuru wenzake

Ni sawa tu hawa wanyama hawana shukrani yalishanikuta mimi hayo,mtu anakuwa na wewe kwa malengo baadae anasepa,nilitaka kuua mtu mimi,hawa wanawake huwa wana roho ngumu sana huwa hawajui watu unajinyima nini,wazee mpaka yakukute ndio mtaelewa,hakuna kitu kama kuheshimu feelings za mtu,mimi tangu nitake kumtwanga huyu mnyama risasi naogopa sana binadamu kama mimi naweza kutwanga mtu risasi mwenzako anaweza nini?
 
Kama ni kweli basi huyo mwanamke alifanya kitendo kibaya sana no doubt alipaswa kuumizwa sana. Poleni wanaume mnaokubali kulaghaiwa na hawa viumbe dhaifu, mkichapiwa kuweni wapole ka mmepata divisheni five!
 
Kuua haikuwa solution sahihi kwa kweli, pamoja na ufedhuli aloufanya huyo dada but kuua hapana
 
kuu na kujiua sio jibu kwani wote mnapata uchungu na haiwi fundisho kwa alie kukosea chamsingi umemgharamia mamilioni alafu analeta dharau tafuta pesa wape vijana wa tindikali tena wasisitize waakikishe inaingia machoni ili yapofuke awe kipofu na liuso libabuke ipasavyo alafu waendelee kupendana na jamaa mpya
 
Mwanamke hana Dhamana na Sisi Wanaume Tumezidi UBWEGE NAZI ( UJINGA ) acha tu Akina Dada Watutese na Watupelekeshe Watakavyo! Unaacha Kumsomesha Ndugu Yako wa Damu Unahangaika Kumgharamikia Demu TENA WENGINE HUWA MNANIBOA KWELI KWANI UTAKUTA DEMU HAKUTAKI LAKINI WEWE UNAKOMAA TU. Acha MTESWE TU MALOFA WAKUBWA NYIE! Mimi Niliacha KUPENDA RASMI MWAKA 2010 na Sasa UKINIONA na DEMU UJUE NAMDANGANYA TU NA NAKWENDA KUMBATUA KISHA NAHAMISHA KAMBI. Mwanamke hata Umpe Nini na Hata UMSUGUE VIPI bado tu ATAGONGWA NJE na MASELA na KIBAYA ZAIDI MASELA WA SIKU HIZI WANAJUA KWELI KUSIMAMIA SHOW ( KUGEGEDA ) na Wengi Wao WANAGONGA * 148 * 01# OK ( KINYELEO ). Ukiwa Masikini UNAKANYAGIWA, UKIWA TAJIRI NAPO PIA UNAKANYAGIWA Hivi Nyie Dada Zangu NANI KAWAROGA? Cha Msingi Sasa ni Kuishi Kama MAFIA tu UNATAFUTA DEMU na UNAMSETI AKUZALIE MWANA, AMLEE KISHA AKIKUA TU MKUBWA MAMA ANASEPA kwa Kumpa Hata MTAJI Kisha Wewe Unaishi tu na Mwanao. DADA ZANGU MNATIA SANA HASIRA NDIYO MAANA NASI MIDUME SASA TUNAISHI KIMAGUMASHI na KIMINYATO. Badilikeni Jamani MNATUUMIZA........................................................:smile-big:
Hilondilo tatizo hapondipo 2lipo lalakaja adui kapanda magugu maji katikati ya ngano.
 
kumgharamikia mwanamke, hasa hasa ambaye haujamuoa ni sawa na kujenga nyumba bondeni au kwenye hifadhi ya barabara.
Hatakama umeoa ndugu hawajamaa ni kunguni ukigusa2 ananuka labda awe mchamungu sana bilahivyo subiribalaa utauwa.
 
Kuua haikuwa solution sahihi kwa kweli, pamoja na ufedhuli aloufanya huyo dada but kuua hapana
Wewe kama ni Ke utakuwa ni dizaini za marehemu mpigwa risasi...au kama ni Me basi utakuwa CHOKO au PUNGA ZEZE...au ni mtoto wa kiume anayekula na kulala bure..hujui mikikimikiki na uchungu wa kutafuta PESA...better SHUT UP.
 
Picha kama la Ufoo Saro vile!

Kijana kwa jina la Gabriel Munisi (27) (mtoto wa kanali mstaafu) ambapo katika sakata hili yeye ndiyo muuwaji! Taarifa ni kwamba, huyu kijana alikuwa akimsomesha dem wake huko Turkey....."makubaliano yao yalikuwa...kwakuwa mimi sikusoma, bora wewe nikusomeshe ili kwa pamoja tukishaoana, tuje kulea watoto.....Gebo akimwambia mchumba wake"!

Baada ya kumaliza kusoma huko uturuki, na kisha kurudi TZ ....demu akaanza kumchenjia mshikaji na kuwa hamataki tena....eti kisa amepata mchumba mwingine..(mzava)....! Wambea wanasema, j3 dem alimpita jamaa gebo kama hamjui vile, achilia mbali matusi na maneno ya kashfa ya dem kwa mshikaji (muuaji) siku za hivi usoni via simu!

Jamaa, ishu zake ni kuchuka ndinga Dar na kwenda kuziuza mkoa fulani kanda ya ziwa, nadhani alipata tetesi kuwa demu wake anasepa leo to USA bila hata kumuaga...sasa sijui ndiyo na huyo mzva sielewi.....na alikuwa anasindikizwa [sijui] hapo siwezi pasemea! Nafikiri kwa hali hii, mshikaji Gebo akaamua afanye MAGAZIJUTO tunayo yasikitikia sasa!

Tumia lugha fasaha, wote sio wahuni humu wa lugha za vijiweni! Ulikuwa na habari nzuri ya kutuhabarisha, lakini lugha yako!!!!
 
nasema hiviii,tumechokaaaa,wapigeni tuu!!!hela ngumu ati,watu tunataka return on investment
 
nitamsomesha mke wangu wa ndoa tu hawa wengine tutaishia kutumiana vocha
 
Huo ndiomshahara wa dhambi mtafute mungu kamata dini weka imani moyoni twenze2.
 
Kuua haikuwa solution sahihi kwa kweli, pamoja na ufedhuli aloufanya huyo dada but kuua hapana

Uko sahihi,kuua sio suluhisho la maana. Sasa ame-save nini! Ameiacha dunia kabla ya muda wake I can say so! Kokutona ndio tatizo la vijana wa siku hizi, huko vyuoni wengine wanashindwa kusoma kwa sababu ya wasichana na wana-disco!

Hujambo lakni!
 
Back
Top Bottom