Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 637
Hata mimi nimefanya utafiti zaid na kugundua kuwa kumbe jamaa aitwaye Francis aliyepigwa risasi baadaye alikufa. lkn pia kumbe siyo aliyeingilia penzi la Munisi bali jamaa mwingine ambaye labda atafahamika baadaye, huyu mkenya alikuwa "at the wrong place at the wrong time". Kitu kinachonishangaza ni kuwa huyo msababisha maafa siyo mzuri ki-hivyo maana naona wa kawaida sana na umri umeenda. Sasa huyu kijana - Munisi kama angekuja kwangu nikamchongea "Salary slip ya like Tsh 2M take home" mbona angepata binti wa hali ya juu tu hapa mjini kuwa mbadala wa huyo Christina?
Nina picha zake ktk angle tofauti lkn kwa ajili ya privacy yake huyo binti sitaziweka ingawa zimenisaidia ku-conclude with 97% confidence interval kuwa binti hana uzuri wa kusababisha maafa haya, Labda kama kuna kitu kingine. pia ktk utafiti wangu nimegundua kuwa wote Xtina na marehemu Alpha walikuwa wana JF
kwa hiyo tuna msiba!