Namsikitikia jamaa kwani anaenda kuangamia 4no reason,inauma sana mtu kukufanyia achilia mbal yule ulomgharimikia,hata mlopendana tu
Oo you ladies how can you hurt what you can't kill?
Na kutokana na kosa kama hlo ambalo linagusa emotional feelings za mtu naziona adhabu zote ndogo,lakin hyo ya kuuwa ni kubwa saana
Mapendekezo meengi watu yatatolewa lakin si yote yatakuwa mazuri,unampiga mtu mimba! Sawa lakini sidhani kama ipo dini isiyokataza UZINIFU,!!!
Na haya yote ni matokeo ya kile tulichokichuma kwa mikono yetu,
MUNGU ametakasika na sifa mbaya zoote, kwani alisema kweli aliposema MZINIFU atamuoa MZINIFU mwenzie, MSHENZI na MSHENZI,,mshirikina na mshirikina,kwa kuwa MUNGU hana sifa ya UONGO kwanini mniaminishe kuwa wanawake woote washenzi,na kama ni hvyo basi MSAFI atampata MSAFI mwenzie, na wataishi kama wapo peponi
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums