Ni sawa tu hawa wanyama hawana shukrani yalishanikuta mimi hayo,mtu anakuwa na wewe kwa malengo baadae anasepa,nilitaka kuua mtu mimi,hawa wanawake huwa wana roho ngumu sana huwa hawajui watu unajinyima nini,wazee mpaka yakukute ndio mtaelewa,hakuna kitu kama kuheshimu feelings za mtu,mimi tangu nitake kumtwanga huyu mnyama risasi naogopa sana binadamu kama mimi naweza kutwanga mtu risasi mwenzako anaweza nini?