Mauaji ya watu 3 Ilala - Dar

Mauaji ya watu 3 Ilala - Dar

kwa nini utumike kama stepping stone banaaa!!
badilikeni aisee .. no committment no investment.

pole nyingi kwa wafiwa.
 
Mwanamke hana Dhamana na Sisi Wanaume Tumezidi UBWEGE NAZI ( UJINGA ) acha tu Akina Dada Watutese na Watupelekeshe Watakavyo! Unaacha Kumsomesha Ndugu Yako wa Damu Unahangaika Kumgharamikia Demu TENA WENGINE HUWA MNANIBOA KWELI KWANI UTAKUTA DEMU HAKUTAKI LAKINI WEWE UNAKOMAA TU. Acha MTESWE TU MALOFA WAKUBWA NYIE! Mimi Niliacha KUPENDA RASMI MWAKA 2010 na Sasa UKINIONA na DEMU UJUE NAMDANGANYA TU NA NAKWENDA KUMBATUA KISHA NAHAMISHA KAMBI. Mwanamke hata Umpe Nini na Hata UMSUGUE VIPI bado tu ATAGONGWA NJE na MASELA na KIBAYA ZAIDI MASELA WA SIKU HIZI WANAJUA KWELI KUSIMAMIA SHOW ( KUGEGEDA ) na Wengi Wao WANAGONGA * 148 * 01# OK ( KINYELEO ). Ukiwa Masikini UNAKANYAGIWA, UKIWA TAJIRI NAPO PIA UNAKANYAGIWA Hivi Nyie Dada Zangu NANI KAWAROGA? Cha Msingi Sasa ni Kuishi Kama MAFIA tu UNATAFUTA DEMU na UNAMSETI AKUZALIE MWANA, AMLEE KISHA AKIKUA TU MKUBWA MAMA ANASEPA kwa Kumpa Hata MTAJI Kisha Wewe Unaishi tu na Mwanao. DADA ZANGU MNATIA SANA HASIRA NDIYO MAANA NASI MIDUME SASA TUNAISHI KIMAGUMASHI na KIMINYATO. Badilikeni Jamani MNATUUMIZA........................................................:smile-big:

Duh pole broda inaonekana hawa waliotuzaa wamekuumiza sana maana hii mistari si mchezo lazima utakuwa umepita kikaangoni kweli kweli. However, its good kwamba maisha yanaendelea. God bless!
 
hii imetokea saa moja na nusu hivi kutoka sasa ni maeneo ya ilala Boma, lilikuwa gari dogo ambalo lilismama ili kusubiri kufungiuliwa geti kisha ikaja pick up akashuka mkaka akamfyatua risasi ya ubongo dereva, wa hiyo gari ndogo kisha akamfyatua mwanamama alokuwa kushoto kisha akawa pasi abiria wawili walokuwa wamekaa kiti cha nyuma.

kisha ajifyatua yeyey mwenyewe toka kidevuni hadi utosini.

sikutaka kushuhudia zaid manake nisije nikajikuta napatapao ya shavu nikasepa mdogo mdogo.

Mbona habari zatofautiana??
Picha yaonesha jamaa kajilipua Kwa paji la uso. Mara alikuja na taxi! Wewe wasema pick up!!! Which is witch??
 
Picha kama la Ufoo Saro vile!

Kijana kwa jina la Gabriel Munisi (27) (mtoto wa kanali mstaafu) ambapo katika sakata hili yeye ndiyo muuwaji! Taarifa ni kwamba, huyu kijana alikuwa akimsomesha dem wake huko Turkey....."makubaliano yao yalikuwa...kwakuwa mimi sikusoma, bora wewe nikusomeshe ili kwa pamoja tukishaoana, tuje kulea watoto.....Gebo akimwambia mchumba wake"!

Baada ya kumaliza kusoma huko uturuki, na kisha kurudi TZ ....demu akaanza kumchenjia mshikaji na kuwa hamataki tena....eti kisa amepata mchumba mwingine..(mzava)....! Wambea wanasema, j3 dem alimpita jamaa gebo kama hamjui vile, achilia mbali matusi na maneno ya kashfa ya dem kwa mshikaji (muuaji) siku za hivi usoni via simu!

Jamaa, ishu zake ni kuchuka ndinga Dar na kwenda kuziuza mkoa fulani kanda ya ziwa, nadhani alipata tetesi kuwa demu wake anasepa leo to USA bila hata kumuaga...sasa sijui ndiyo na huyo mzva sielewi.....na alikuwa anasindikizwa [sijui] hapo siwezi pasemea! Nafikiri kwa hali hii, mshikaji Gebo akaamua afanye MAGAZIJUTO tunayo yasikitikia sasa!

hapa ndipo na mkumbukia mama Mwanahawa Ali "Tenda wema uende za usingoje shukurani kwani shukurani ya punda ni mateke.." (taarab song)
 
Hayo ndo madhara ya kugawa bastola kama njugu,hadi inafikia hatua hadi matahira wanapewa
 
kumgharamikia mwanamke, hasa hasa ambaye haujamuoa ni sawa na kujenga nyumba bondeni au kwenye hifadhi ya barabara.

Kwenye hifadhi ya barabara unaongea na TANROADS hawana noma sana ila bondeni sawa.
 
hapa ndipo na mkumbukia mama Mwanahawa Ali "Tenda wema uende za usingoje shukurani kwani shukurani ya punda ni mateke.." (taarab song)

Hapana hapa kulikuwa na mkataba / contract kama ni kweli lakini. Kulikuwa na contact kati ya hawa wawili, kumbuka mkataba siyo lazima uandikwe hata wa maneno ni mkataba
 
Kiukweli na sisi wanaume tumezidi kuwekeza nguvu na pesa nyingi sana kwa mwanamke ambaye ni mchumba tu na pengine kidume una mke halali alafu unatumia pesa kibao kisa nyapu za nje ukigeukwa unapagawa hasa mapesa uliyotupa.
 
maisha ni commitment mke na mume/wachumba wanapanga kwa pamoja mm nasimama na hili wewe fanya lile for the good future tumekuwa kitu kimoja lengo moja nia moja #unabetray , but for players betrayal is not an issue,kwa wenye maadili mema ni tatizo kubwa.
 
Mwanamke hana Dhamana na Sisi Wanaume Tumezidi UBWEGE NAZI ( UJINGA ) acha tu Akina Dada Watutese na Watupelekeshe Watakavyo! Unaacha Kumsomesha Ndugu Yako wa Damu Unahangaika Kumgharamikia Demu TENA WENGINE HUWA MNANIBOA KWELI KWANI UTAKUTA DEMU HAKUTAKI LAKINI WEWE UNAKOMAA TU. Acha MTESWE TU MALOFA WAKUBWA NYIE! Mimi Niliacha KUPENDA RASMI MWAKA 2010 na Sasa UKINIONA na DEMU UJUE NAMDANGANYA TU NA NAKWENDA KUMBATUA KISHA NAHAMISHA KAMBI. Mwanamke hata Umpe Nini na Hata UMSUGUE VIPI bado tu ATAGONGWA NJE na MASELA na KIBAYA ZAIDI MASELA WA SIKU HIZI WANAJUA KWELI KUSIMAMIA SHOW ( KUGEGEDA ) na Wengi Wao WANAGONGA * 148 * 01# OK ( KINYELEO ). Ukiwa Masikini UNAKANYAGIWA, UKIWA TAJIRI NAPO PIA UNAKANYAGIWA Hivi Nyie Dada Zangu NANI KAWAROGA? Cha Msingi Sasa ni Kuishi Kama MAFIA tu UNATAFUTA DEMU na UNAMSETI AKUZALIE MWANA, AMLEE KISHA AKIKUA TU MKUBWA MAMA ANASEPA kwa Kumpa Hata MTAJI Kisha Wewe Unaishi tu na Mwanao. DADA ZANGU MNATIA SANA HASIRA NDIYO MAANA NASI MIDUME SASA TUNAISHI KIMAGUMASHI na KIMINYATO. Badilikeni Jamani MNATUUMIZA........................................................:smile-big:

u rily need a psychiatrist.....una maumiv makali sana moyoni
 
Hapana hapa kulikuwa na mkataba / contract kama ni kweli lakini. Kulikuwa na contact kati ya hawa wawili, kumbuka mkataba siyo lazima uandikwe hata wa maneno ni mkataba

weeee cku hizi NOT WRITTEN NOT DONE...nyati
 
wakome bwana mademu sijui ni vipi tamaa tu mungu amsamehe msela.Ila tahadhar tusijaribu kuwekeza kwa wachumba tutajiua na kuuwa mpaka lini pia utatesa wazazi bure,tuwen makini vijana wa kiume
 
Back
Top Bottom