Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
Mie niko USA, matokeo ya Igunga huku tunayafuatilia kwa karibu na wa TZ woteeeeeeeeeeeee tunaiomba ushindi CHADEMA! CCM inatakiwa kujua kuwa muda wao wa kutawala umefika kikomo na 2015 ndo mwisho wao!! Pepleszzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzpowerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!!!!!!!!!!!!
 
mh,kuna watu siwaoni saivi humu hadi nakata tamaa,...
ngoja nisepe tu
 
kwa mujibu wa updates nilizonazo ni kwamba uchakachuaji kwenye uchaguzi wa jimbo la igunga ni mdogo sana hivyo matokeo yatakayokuja tuyaheshimu.wand wa igunga wameamua hivyo!tuwe na subira na tuheshimu matokeo,tusonge mbele huku tukiamini change is coming!
source:secret service
Aliyechakachua ufutiwe matokeo yake yote
 
Hi Candidscope,
sawa lakini hao vijana watajiandikisha vp ikiwa NEC haijawapa nafasi? Sidhani kama hapo ndipo penye kitovu cha tatizo. Mi nafikiri tatizo kubwa hasa ni Katiba ya sasa. Lazima ipatikane Katiba mpya kabla ya 2015.

Mkuu unaambiwa kuwa vijana wengi hawajitokezi kupiga kura, wewe unaomba katiba mpya, wapi na wapi mkuu..?
 
peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeees power vp kata aliyotokea Rostam nani anaongoza??????? Bwaha haaahaaaaa haaaaaa
 
Kuweka umakini kwenye dakika hizi la lala salama ni muhimu zaidi ya kupiga kura maana ccm kwa ujambazi ndio kiboko
 
Hivi unawezaje kuwa mshkaji wa karibu na mtu kiazi hivi??always when you run with losers you are also going to be a looser.

Who is a loser? Me or U?
Am always in the winning side.
We have won..well done CCM!
 
jamani leo nimeenjoy dah Fatmah Nyangasa amenivutie duh yule binti aliumbwa asubuhi, hata ka CDM tumeshindwa Igunga yule binti kanisuuza roho mweeeeeh!

hongera kwa kusuuzika. Mimi hapa matokeo yakitoka ndipo moyoni wangu utasuuzika.
 
Kila la kheri CDM kwani nguvu inayokuja inatoka kwa watu na sauti ya watu ni sauti ya Mungu
Aluta Continua!
HAkuna kulala hadi kieleweke!!
Peoples Power
 
Jaman tafadhal 2peni matokeo abt chadema,haki ya nani mi leo ntalia mpaka nickie pipoooz power.....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom