Haya sasa kizungumkuti...Igunga mjini chadema imeongoza sasa hivi ni sherehe tupu,wafuasi wa chadema wanasherekea kila kona ya mji-Radio one
tupe data na figures zake kama huna datas kaa kimyaa
Nasikiliza jungu kuu tbc mtangazaji analalamika kuwa mashabiki wa upinzani wameanza kushangilia kabla ya matokeo kutangazwa. Anadai vijana wa cdm wamejaa nje ya ukumbi wa kutangazia matokeo, umbali wa meta 50 wakiimba kusubiri kutangaziwa ushindi na hawaoneshi dalili ya kuondoka mpaka kieleweke.
my take: mabadiliko huletwa na vijana na kwa tz, saa ya ukombozi ni sasa.
Tatizo ni sera Mbovu za wapinzani.
Hawana mikakati ya kuimarisha vyama vyao. Wanaangalia wao binafsi wananufaika na nini.
hapo ndipo wanapokosea Chadema... wananunua nepi kabla mtoto hajazaliwa. matokeo haya si ya kushangilia. watakuja kushangaa baada ya muda si mrefu
hapa matokeo yanachanganya.
boro washangilie mapema, inaweza kuwa ni njia ya kuwatisha magamba wasichakachue.
Usiangalie Igunga mjini..
Angalia Igunga nzima in general
hivi na nyie wafuatilia msiwe wavivu kufikiria kwenye vituo cdm wanaongoza kwenye kura za jumla ccm wanaongoza hivi hili swala mnalichukuliaje? hapa hata ya bila kuwa mnazi wa chama chochote hivi hiki kitu mnakionaje..
Jamani nasikia kuwa matokeo ya kata za 24, tupeni update ukijumlisha matokeo hayo nani anaongoza?
Hivi unawezaje kuwa mshkaji wa karibu na mtu kiazi hivi??always when you run with losers you are also going to be a looser.ningekujibu vizuri sema tu ni mshikaji wangu wa karibu