Bado mchuano ni mkali
Wazee kwa mujibu wa chanzo changu makini hali ya CDM ni mbaya, CCM inaweza kushinda kwa kura nyingi sana. Ukiangalia kwa makini sehemu ambayo CDM ilikuwa inapendwa imeshinda kwa tofauti ya kura ndogo zisizozidi 1000! Katika matokeo ambayo ameleta Novatus Makunga yamebadili kabisa mwelekeo wa matokeo. Kwa jinsi chanzo kilivyotema, huko vijijini CCM itashinda kwa kura nyingi, jambo hili litaguwa gumu kulisadiki lakini ndiyo ukweli unazidi kujongea masikio mwetu.