Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
updates za sasa
KATA itumba ccm 178cdm 560 cuf 3
alitoa na kata nyingine magamba wanaongoza ckuweza kuinasa izuri source navatus makunga ITV
 
We all know how this is going to end. Wanawatanguliza kwanza kwa matokeo ya mjini then wanamalizia na ya vijijini baada ya kujua idadi ya kura wanazotakiwa kuchakachua!!!
Kweli kabisa inawezekana matokeo ya vijijini yakabadili kila kitu na ni rahisi kuchakachua!
 
jamani mmesikia taarifa ya sasa hv ila wametoa matokei ya kata
 
Kata nne mpaka sasa zimetangwa kata nne ambazo zote CCM wanaongoza, moja ya hiyo kata ni sehemu anakotoka mgombea wa CCM, kwa bahati mbaya majina ya kata sijayakariri vizuri
 
Zile kura 11,000 (Elfu kumi na moja) za CUF za mwaka 2010 zipo wapi wajameni?. No doubt zile zilikuwa kura za wapenzi na wakereketwa wa CHADEMA.
 
katika kata 4 zilizotangazwa sasa ambazo ni ngome ya CCM
CCM inaongoza kwa kura zaidi ya 1000..
 
Ndio mbinu zao Bajabiri kwani huwajui hawa?

kwakuiba kura nawajua nakimbuka miaka ya 90 babangu aligombea udiwan watu wa usalama wa taifa wakawalazimisha mawakala wakubali kusain kuwa mgombea wao (my dady) kuwa ameshindwa ingawa alishinda,,,,,ndo maana mi huwa nawaangaliaaa halafu nabaki kuwang'ong'a
 
Kwa mujibu wa Novatus Makunga wa ITV haya matokeo ya kata nne yamenistua
1. CCM -730
CDM-372
2. CCM-664
CDM-284
3. CCM-1479
CDM-1085
4. CCM-1078
CDM-590
Ni balaa MAGAMBA yameishafanya vitu vyao vipi????
 
GIZA LIKIINGIA CCM WATASHINDA. Hyo ndio hofu yangu!
 
Wamepanga kuiba Kura pia wamepanga kutumia Usalama wa Taifa kufanya Umafia.Chadema mliopo mstari wa Mbele Serikali imeamua kutumia Nguvu kubwa sana kufanya kila njia hata mtu kufa if possible ili washinde.
 
Da Mhhhhh Aiseee nshakata Tamaaaaaa Ngoja nisubirie matoke tu:::Hii habari ya Novatus Makunga imenikata maini::::
 
Duh mchuano mkali hatukawii kusikia wamepishana kwa 2 au 1.
 
Vijana wetu tuliowachagua majimboni kwetu kama mdee,nanyaro,zito n.k wanajitahidi kulinda haki za wanaigunga pamoja na watanzania kwa ujumla
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom