Kwa mwelekeo huu mmh....
Hata kipimo cha imani kwenye biblia ni sumu, ulishasikia nani akijipima? si papa wala pengo seuse maamuma. Unanchekesha!
pole, unasikitishwa na reporter ama matokeo?
[TABLE="class: cms_table_MsoTableGrid"]
[TR]
[TD="width: 142"]ata Mguu[/TD]
[TD="width: 164"][/TD]274
[TD="width: 166"][/TD]664
[/TR]
[TR]
[TD="width: 142"] Kata Nkinga[/TD]
[TD="width: 164"][/TD]1085
[TD="width: 166"][/TD]1476
[/TR]
[TR]
[TD="width: 142"] Kata itumba[/TD]
[TD="width: 164"][/TD]590
[TD="width: 166"][/TD]1078
[/TR]
[/TABLE]
nayaombaa kwa vituo not kwa kata nzima hapa kuna jamboooo
Kweli mkuu nakumbuka kule Pemba, kuna kipindi likasema bora punda afe mzigo ufike! Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki CDM.kuna jitu (siyo Wassira) moja la CCM huko lina roho mbaya, silipendi maana lenyewe linajua ushindi kwa CCM tu hata kama watu wafe. hili ni jitu baya sana ambalo kwa kweli linatakiwa kupelekwa The Hegue likabanwe naniliu na plaizi.
Mi naenda kulala, matokeo nitayasoma kesho kutwa.
Huko Mjimwema(Njombe mjini) ilijulikana mapema kuwa CCM ingeibuka mshindi kwa akina Sagasaga (viongozi wa CDM) walikalia malumbiano ya kugombania nafasi za uongozi badala ya kueneza sera za chama kwa wananchi kwa ufasaha na kwa muda muhafaka.
[TABLE="class: cms_table_MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]ata Mguu[/TD]
[TD="width: 164"][/TD]274
[TD="width: 166"][/TD]664
[/TR]
[TR]
[TD="width: 142"] Kata Nkinga[/TD]
[TD="width: 164"][/TD]1085
[TD="width: 166"][/TD]1476
[/TR]
[TR]
[TD="width: 142"] Kata itumba[/TD]
[TD="width: 164"][/TD]590
[TD="width: 166"][/TD]1078
[/TR]
[/TABLE]
nayaombaa kwa vituo not kwa kata nzima hapa kuna jamboooo
Kwenye hayo matokeo ya Jumla ya kata, yule reporter wamemchakachua mkuu