Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
Kata ya simbo shule ya msingi Ushirika na pia kutoka Bukoko

CDM 87 ccm 29 cuf 11
41 59 1
Jumla 128 88 12

Mchuano bano ni mkali sana kati ya CCM na CDM

Hata kama tukipoteza Igunga, CDM tumewaonyesha ccm kwamba wakae chonjo.
Matokeo haya ni dalili nzuri sana kwa CDM kwamba tutachukuo dola 2015 ! Mapambano na yataendelea .......


CDM lazima ishinde Igunga.

Kama itashindwa nitakula maneno yangu.
 
Tusisheherekee vituo 20 wakati kuna vituo 443, na ccm wako ktk mbinu za hali ya juu wakati wa usiku huu,na kwa kuthibitisha hilo wameanza kutangaza vituo ambavyo ccm wanakubalika na chadema,ili kuwafanya watu wote kujua kua CUF haina kitu wakati wanajua kua CUF igunga ndio mwenye kukubalika kliko chama chochote,na usiku vile vituo vingi vzaidi ambavyo ni vya CUF wanataka kuyachakachua tena kwa nguvu.

Nimeongea na mtu alieko huko igunga ndani ya uwanja huo wa mapambano na anasema hali si nzuri kwa walo ndani..
 
Jamani kata ya mjimwema njombe kwa gamba la kobe makinda matokeo yapoje? Maana njombe wananchi ni zezeta wa magamba.
Mjimwema (Njombe Mjini) na kata za Gangilonga na Kitanzini (Iringa Mjini) zote zimechukuliwa na CCM
 
km yalivotolewa na itv [table="class: Msotablegrid"]
[tr]
[td] kituo[/td]
[td="width: 164"]
chadema​
[/td]
[td="width: 166"]
ccm
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"][/td]
[td="width: 164"]
84​
[/td]
[td="width: 166"]
79​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"] busoneke 2[/td]
[td="width: 164"]
77​
[/td]
[td="width: 166"]
60​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"][/td]
[td="width: 164"]
111​
[/td]
[td="width: 166"]
76​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"] nyandekwa[/td]
[td="width: 164"]
101​
[/td]
[td="width: 166"]
84​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"][/td]
[td="width: 164"]
57​
[/td]
[td="width: 166"]
59​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"] mwenge c[/td]
[td="width: 164"]
85​
[/td]
[td="width: 166"]
63​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"][/td]
[td="width: 164"]
108​
[/td]
[td="width: 166"]
77​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"][/td]
[td="width: 164"]
68​
[/td]
[td="width: 166"]
87​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"][/td]
[td="width: 164"]
73​
[/td]
[td="width: 166"]
71​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"] kinungu2[/td]
[td="width: 164"]
78​
[/td]
[td="width: 166"]
63​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"] itumba1[/td]
[td="width: 164"]
33​
[/td]
[td="width: 166"]
41​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"] itumba3[/td]
[td="width: 164"]
20​
[/td]
[td="width: 166"]
35​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"] itumba 2[/td]
[td="width: 164"]
31​
[/td]
[td="width: 166"]
45​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"] kinungu1[/td]
[td="width: 164"]
75​
[/td]
[td="width: 166"]
51​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"][/td]
[td="width: 164"]
111​
[/td]
[td="width: 166"]
78​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"][/td]
[td="width: 164"]
120​
[/td]
[td="width: 166"]
128​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"][/td]
[td="width: 164"]
90​
[/td]
[td="width: 166"]
83​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"] katibu tarafa[/td]
[td="width: 164"]
88​
[/td]
[td="width: 166"]
61​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"] chamaland[/td]
[td="width: 164"]
56​
[/td]
[td="width: 166"]
31​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"][/td]
[td="width: 164"]
43​
[/td]
[td="width: 166"]
27​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"][/td]
[td="width: 164"]
59​
[/td]
[td="width: 166"]
56​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"] mwenge sm b[/td]
[td="width: 164"]
71​
[/td]
[td="width: 166"]
67​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"][/td]
[td="width: 164"]
101​
[/td]
[td="width: 166"]
84​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"][/td]
[td="width: 164"]
90​
[/td]
[td="width: 166"]
83​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"] ujenzi[/td]
[td="width: 164"]
104​
[/td]
[td="width: 166"]
70​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"][/td]
[td="width: 164"]
91​
[/td]
[td="width: 166"]
73​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"][/td]
[td="width: 164"]
84​
[/td]
[td="width: 166"]
61​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"] kata mtogwe[/td]
[td="width: 164"]
362​
[/td]
[td="width: 166"]
730​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"] kata mguu[/td]
[td="width: 164"]
274​
[/td]
[td="width: 166"]
664​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"] kata nkinga[/td]
[td="width: 164"]
1085​
[/td]
[td="width: 166"]
1476​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"] kata itumba[/td]
[td="width: 164"]
590​
[/td]
[td="width: 166"]
1078​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"][/td]
[td="width: 164"]
88​
[/td]
[td="width: 166"]
87​
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"] busonene[/td]
[td="width: 164"]
56​
[/td]
[td="width: 166"]
59
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"] ushiriki[/td]
[td="width: 164"]
87​
[/td]
[td="width: 166"]
29 siyo66
[/td]
[/tr]
[tr]
[td="width: 142"] vikoko[/td]
[td="width: 164"]
41​
[/td]
[td="width: 166"]
59
[/td]
[/tr]
[/table]

vituo vingine sikuweza kuandika majina

error kidogo nyekundu
 
Mkuu kura kwa jumla ni hizi hapa ila kwa mjibu wa sheria za uchaguzi kura zote zikitoka kwenye kituo zinapelekwa moja kwa moja kwa msimamizi mkuu wa uchaguzi kwa ajili ya majumuisho yote na siyo kuyapeleka kwenye kata ila hapa mtangazaji kasema kayatoa kwenye kata ambavyo siyo labda hayo ni yale feki mkuu matokeo hadi sasa ni CDM 5435 & CCM 6,652
 
Ole wenu magamba mchakachue mtaiona igunga chungu
 
Practically it's too early to say that. We need to wait vigilantly
 
CCM wakishinda,basi njia ya sanduku la kura inabidi iwekwe kando.Haifanyi kazi kwenye jamii ya wananchi wajinga!Otherwise nchi ipigwe panga wajinga wabaki na viongozi wao!Hatuwezi kuchaguliwa viongozi na mabumbumbu hata siku moja.Enough is enough.Mabadiliko sasa ni lazima la sivyo tutachaguliwa viongozi vilaza na vilaza all the time.Nchi si ya vilaza peke yao hii!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom