Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
Mungu akikukataa hakuna atakae kukubali, ccm umeshakataliwa pole sana, pumzika na siasa nenda katubu kwanza, hata uchakachuaji mungu ndie mwalimu wakuchakachua
 
Ni mapema mno kusema nini kitatokea japo watu wenye akili zao wanajua fika CCM haitakubali kupoteza jimbo kwa vyovyote. Na muda si mrefu tuanze kutarajia matokeo kutotoka kwa muda mpaka pale CCM na Tume yao watakapomaliza ku-tally kura zote na kujitathmini ndipo wataanza kutoa at piecemeal. Igunga waikataa CCM kwelikweli lakini CCM haitaikataa Igunga! Itaing'ang'ania. CCM haiwezi kutangaza matokeo ambayo wao hawayajui. Na huko vijijini ndiko kwenye uchakachuzi sasa. Mnakumbuka BUSANDA?

Wakati mwingine tuache upuuzi vituo vyote vinatangaza matokeo mbele ya wasimamizi wa vyama how can this happen!!! Tatizo lenu mnadhani ukianza kuongoza kitua cha kwanza basi unatakiwa kuongoza vyote siku zote kura za mjini zinakuwa za kwanza kutoka na mara nyingi vyama pinzani huongoza mjini... sasa ya vijijini yakija things changes hapa ndio mnasema kura zimeibiwa ni kujua mathematical aljebra ndogo sana kung'amua haya!

Huwezi kusema ngome ni yako alafu unashida na kura 5, 10 au ishirini kwenye kituo... it is simple CCM imelamba jimbo.
 
Cuf sasa walikuwa wanajidai nini kuhusu mtaji wao wa kula 11000? Mbona nasikia mara wamepata 0,3,2.tatizo ni ndoa waliofinga na magamba.
 
BAVICHA chonde umakini mpaka kieleweke!!!!!!! Heche kaeni vijijini motekura zetu asiibe mtu.
 
Najua watu wanahamasa sana; matokeo kwa kadiri yanavyotoka hadi hivi sasa bado ni kiwango cha chini sana kuweza kujua mwelekeo (trend) ya ushindi. Hadi tutakapoanza kuzungumzia "maelfu" hapo ndipo tutajua kura zinaendaje sana. Vyovyote vile ilivyo hata hivyo kitu kinaitwa "momentum" ambayo CDM inaionesha kama inazidi kuongezeka basi ndio tujue kuwa CCM imekataliwa kweli kweli Igunga.

Tupo tuna monitor....

MM angalizo hili ni sahihi kwani kwa sasa wananchi wanahamasika sana kufuatilia na wengi wanamatarajio makubwa kulingana na hali ya mabadiliko iendavyo
 
Two More updates....

[TABLE="width: 192"]
[TR]
[TD="class: xl72, width: 64"]
[/TD]
[TD="class: xl68, width: 64"]CCM[/TD]
[TD="class: xl69, width: 64"]CDM[/TD]
[TD="class: xl70, width: 64"]CUF[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl71"][/TD]
[TD="class: xl66"]69[/TD]
[TD="class: xl66"]52[/TD]
[TD="class: xl66"]4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl71"][/TD]
[TD="class: xl65"]55[/TD]
[TD="class: xl65"]86[/TD]
[TD="class: xl65"]5[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl71"][/TD]
[TD="class: xl65"] [/TD]
[TD="class: xl65"] [/TD]
[TD="class: xl65"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl71"][/TD]
[TD="class: xl67"] [/TD]
[TD="class: xl67"] [/TD]
[TD="class: xl67"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl72"]JUMLA[/TD]
[TD="class: xl68, align: right"]124[/TD]
[TD="class: xl69, align: right"]138[/TD]
[TD="class: xl70, align: right"]9[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Source ITV - Renatus Mutabuse...
 
Jimbo limerudi CCM. Hata hivyo sio mbaya sana kwa CHADEMA kwani imeonyesha umma kuwa ndiyo chama pekee chenye uwezo wa kupambana na CCM. Naamini kwa utaratibu wa kuandikisha wapiga kura uliopo sasa hivi, sehemu kubwa ya wanaosapoti CHADEMA hawapigi kura. Napenda kuwashauri viongozi wangu wa CHADEMA wajaze helicopter mafuta, pale tume ya uchaguzi itakapotangaza ku-update daftari la wapiga kura, then ndiyo kampeni itakuwa inafanyika. CHADEMA ihakikishe inazunguka katika maeneo ambayo uboreshaji wa daftari unafanyika, na kuhamasisha watu wajiandikishe. Pia wahakikishe kwamba wana-groom watu wenye sifa kuwaanda kwa ajili ya kugombea udiwani na ubunge hapo 2015, pia uenyekiti wa mitaa hapo 2014.

Nawapa hongera sana wapiganaji wote wa CHADEMA kwa kazi nzuri waliyoifanya Igunga, wasikate tamaa, kwani mapambano ndio kwanza yanaanza.
 
Kata ya Mwavugi matokeo ya awali CHADEMA inaongoza wakina mama,vijana na wazee wamejitokeza barabarani kushangilia ushindi.Radio one
 
Majumuisho ya vituo vyote vilivyokamilisha CDM inaongoza.
Source: SIBUKA tv live now.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom