Poa 2

JF-Expert Member
Jul 7, 2019
1,294
1,288
Ni uchungu sana kuona kwamba rasilimali za taifa, mashirika ya umma na hata utu na uhuru wetu unaendea kuchezewa na wachache au yeyote atakayepewa mamlaka ya urais wa nchi hii. Yaani yeye na watu wake kwa kipindi chake.

Kila rais anayeingia madarakani hupiga pake na kutulia kimya akijua atalindwa na mfumo.

Hizi sera za ubinafsishaji na uwekezaji ni kichaka muhimu sana kwa watawala kuuza rasilimali za nchi na Mali za umma.

Wakoloni hawakutuvamia kijeshi Ili kututawala walitumia mikataba ya kilaghai kwanza na ndicho kinachofanywa hata Leo na wenye akili Ili kuchukua Mali zetu Tena kwa kuwatumia watawala wetu wabinafsi na wajinga.

Sasa wadau hapa tutakuwa tuna weka au kutaja kitaam na kisheria zile rasilimali za nchi au mashirika ya umma ambayo kwa namna Moja yameuzwa au wameonewa wawekezaji kwa miaka mingi na taifa halinufaiki na chochote. Na hapa ni kwa awamu zote SI kwa Samia tu, Ili tuweze kupima ni kwa kiwango au kiasi Gani tumeuzwa na kimebaki nini mikononi mwetu.

Tukianza na:

(1) Hili la bandari zetu kupewa waarabu kwa kisingizio cha uwekezaji na ubinafsishaji.
(2) Loliondo na ngorongoro
(3) NET GROUND
(4) TTCL
(5) ATCL
(6) Migodi mbalimbali n.k

Na mengine mengi wajuzi wa mambo tusaidieni tusiyoyajua.

Ahsanteni sana na karibuni.
 
Ni uchungu sana kuona kwamba rasilimali za taifa, mashirika ya umma na hata utu na uhuru wetu unaendea kuchezewa na wachache au yeyote atakayepewa mamlaka ya urais wa nchi hii. Yaani yeye na watu wake kwa kipindi chake.

Kila rais anayeingia madarakani hupiga pake na kutulia kimya akijua atalindwa na mfumo.

Hizi sera za ubinafsishaji na uwekezaji ni kichaka muhimu sana kwa watawala kuuza rasilimali za nchi na Mali za umma.

Wakoloni hawakutuvamia kijeshi Ili kututawala walitumia mikataba ya kilaghai kwanza na ndicho kinachofanywa hata Leo na wenye akili Ili kuchukua Mali zetu Tena kwa kuwatumia watawala wetu wabinafsi na wajinga.

Sasa wadau hapa tutakuwa tuna weka au kutaja kitaam na kisheria zile rasilimali za nchi au mashirika ya umma ambayo kwa namna Moja yameuzwa au wameonewa wawekezaji kwa miaka mingi na taifa halinufaiki na chochote. Na hapa ni kwa awamu zote SI kwa Samia tu, Ili tuweze kupima ni kwa kiwango au kiasi Gani tumeuzwa na kimebaki nini mikononi mwetu.

Tukianza na:

(1) Hili la bandari zetu kupewa waarabu kwa kisingizio cha uwekezaji na ubinafsishaji.
(2) Loliondo na ngorongoro
(3) NET GROUND
(4) TTCL
(5) ATCL
(6) Migodi mbalimbali n.k

Na mengine mengi wajuzi wa mambo tusaidieni tusiyoyajua.

Ahsanteni sana na karibuni.
CHADEMA nayo ilishauzwa kwa Mzee lowasa
 
CHADEMA nayo ilishauzwa kwa Mzee lowasa
Nyie chawa ndio mlivyo Hanna umakini hata kidogo na Mambo ya msingi Ila Mambo ya kijinga ndio mambo yenu, tunajua mama yenu anamalizia kuuza vichache vilivyobaki.

Na asiishie hapo auze na ikulu Ili nyie mazombi mkenue vizuri .
Na ujinga huu utadumu wakati ccm ipo madarakani tu, wananchi wakiamua kuwatoa hatutakubaliana na ujuha wa aina hii
 
Nyie chawa ndio mlivyo Hanna umakini hata kidogo na Mambo ya msingi Ila Mambo ya kijinga ndio mambo yenu, tunajua mama yenu anamalizia kuuza vichache vilivyobaki.

Na asiishie hapo auze na ikulu Ili nyie mazombi mkenue vizuri .
Na ujinga huu utadumu wakati ccm ipo madarakani tu, wananchi wakiamua kuwatoa hatutakubaliana na ujuha wa aina hii
Uelewa wako ni mdogo sana kilichosainiwa na kuridhiwa na bunge ni makubaliano ya kushirikiana kati ya Tanzania na Kampuni ya Dp world sio mkataba, mikataba itakuja baadae kwa ajili kusainiwa
 
Ni uchungu sana kuona kwamba rasilimali za taifa, mashirika ya umma na hata utu na uhuru wetu unaendea kuchezewa na wachache au yeyote atakayepewa mamlaka ya urais wa nchi hii. Yaani yeye na watu wake kwa kipindi chake.

Kila rais anayeingia madarakani hupiga pake na kutulia kimya akijua atalindwa na mfumo.

Hizi sera za ubinafsishaji na uwekezaji ni kichaka muhimu sana kwa watawala kuuza rasilimali za nchi na Mali za umma.

Wakoloni hawakutuvamia kijeshi Ili kututawala walitumia mikataba ya kilaghai kwanza na ndicho kinachofanywa hata Leo na wenye akili Ili kuchukua Mali zetu Tena kwa kuwatumia watawala wetu wabinafsi na wajinga.

Sasa wadau hapa tutakuwa tuna weka au kutaja kitaam na kisheria zile rasilimali za nchi au mashirika ya umma ambayo kwa namna Moja yameuzwa au wameonewa wawekezaji kwa miaka mingi na taifa halinufaiki na chochote. Na hapa ni kwa awamu zote SI kwa Samia tu, Ili tuweze kupima ni kwa kiwango au kiasi Gani tumeuzwa na kimebaki nini mikononi mwetu.

Tukianza na:

(1) Hili la bandari zetu kupewa waarabu kwa kisingizio cha uwekezaji na ubinafsishaji.
(2) Loliondo na ngorongoro
(3) NET GROUND
(4) TTCL
(5) ATCL
(6) Migodi mbalimbali n.k

Na mengine mengi wajuzi wa mambo tusaidieni tusiyoyajua.

Ahsanteni sana na karibuni.
Serikalic haifanyi biashara huku akiungia mkstaba na serikali nyingine mbona kituko
 
Hili la Samia kuuza bandari kwa waarabu dhambi hii itamtesa sana na hatafanikiwa ktk lolote watanzania watamweka kundi baya sana
 
Hili la Samia kuuza bandari kwa waarabu dhambi hii itamtesa sana na hatafanikiwa ktk lolote watanzania watamweka kundi baya sana
Mkuu mama Samia ni mtanzania na Tanzania haiuziki hakuna bandari iliyouzwa Bali kilifanyika ni uwekezaji wa kawaida Tena kisheria
 
Hili la Samia kuuza bandari kwa waarabu dhambi hii itamtesa sana na hatafanikiwa ktk lolote watanzania watamweka kundi baya sana
Naanza kupata mashaka makubwa kuhusu chanjo za COVID-19 zilizoletwa Afrika, pengine zina athari hasi akilini mwa wachanjwaji. Hii si bure kabisa. Ebu tuzidi kujifunza zaidi kuhusu mashaka haya.

Dr. Fauci na Billgate Foundation pengine walikuwa na hila mbaya sana na ya siri kuhusu Afrika. Pengine hili pia linahusiiana na agenda ya ushoga. Mungu amzidishie afya njema M - 7.
 
Since the height of the Covid-19 outbreak in 2020, President Museveni, 78, is always seen wearing a mask while social distancing in public. The veteran leader, who is vaccinated against the disease, is often seen seated alone and at a distance on the lawn of his office when meeting visitors.
m7tent-data.jpg
 
Ni kuuza uza tu,yaani Hawa viongozi awamu ya sita Hawana creativity yoyote,wanalolijua wao ni kuuza uza tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu mpaka tuombe poooooo!
 
Heshima sana wanajamvi,

Naomba kujuzwa hivi kufungua nchi maana yake kuuza Bandari, kuuza Airport, kuuza mapori yetu na nk.

Unajua nafika mahali nashindwa kujua hawa watawala wetu wanatuona sisi wajingaaaa.
Ukipinga mikataba ya kilaghai ya kuuza nchi wanakwambia wewe ni mdini
 
Heshima sana wanajamvi,

Naomba kujuzwa hivi kufungua nchi maana yake kuuza Bandari, kuuza Airport, kuuza mapori yetu na nk.

Unajua nafika mahali nashindwa kujua hawa watawala wetu wanatuona sisi wajingaaaa.
mkataba unasema Tanzania itaijulisha Dubai juu ya fursa zozote zilizopo, na zitakazokuwepo, hili ni tusi kubwa sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom