qHldvbu.jpg

Tufanyaje sasa..........;);)
 
Bado hatujaingia. Tuna 12 points wanaotufuata wana sita. Fc Basel akitufunga akimfunga Benfica halafu CSK wakitufunga halafu wakimfunga Benfica wote watakuwa na 12 points watapita sisi tutabaki.
Tunahitaji 1pount.
Inshu sio point inshu ni magoli ili basel na cska wapite inabidi watufunge magoli kuzidi yale tuliyowafunga kitu ambacho ni kigumu
 
Inshu sio point inshu ni magoli ili basel na cska wapite inabidi watufunge magoli kuzidi yale tuliyowafunga kitu ambacho ni kigumu

Rondo kakueleza vizur sana magoli hayana maana tunahitaji point moja kukata nafas ya uhakika ushindi wa cska moscow ulitibua
 
Bado hatujaingia. Tuna 12 points wanaotufuata wana sita. Fc Basel akitufunga akimfunga Benfica halafu CSK wakitufunga halafu wakimfunga Benfica wote watakuwa na 12 points watapita sisi tutabaki.
Tunahitaji 1pount.

upo sahihi tunahitaj point moja tu kufuzu
 
Huyu dogo El Shaarawy anachowafanya Chelsea ni Mungu anajua!
Mkuu imenishangaza perot kumpekenyua mwenzie madole matakoni baada ya kushinda goli la pili.Sijui kama uliiona hii
Hawa wazungu sijawahi kuwaelewa
 
Mkuu imenishangaza perot kumpekenyua mwenzie madole matakoni baada ya kushinda goli la pili.Sijui kama uliiona hii
Hawa wazungu sijawahi kuwaelewa
Nilishangaa mkuu, sijui wana utani gani hawa.. Maana wamechekeana tu
 
Inshu sio point inshu ni magoli ili basel na cska wapite inabidi watufunge magoli kuzidi yale tuliyowafunga kitu ambacho ni kigumu
Unajua maana ya 'mathematically possible' kwenye soka? Kama unajua utaekewa nasema nini. Bado hatujapita group stage.
 
Back
Top Bottom