Mlandege
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,194
- 569
Tunahitaji herrera na rashord pemben hawa benfica wanatuadhiri
Kiungo imepwaya
Tunahitaji herrera na rashord pemben hawa benfica wanatuadhiri
dogo kacheza vizuri sana,anajiamini vizuri katulia anagawa tu mipira kimyakimya kama XaviMechi ilikua nzuri sana, McTomminay kacheza vizuri sana.
bailly lingekuwa bongo halafu linacheza ndondo sijui lingekuwaje maana liko ulaya lakini linacheza kama beki la ndondoKijana wetu bailly alikua hana discipline leo, ila tumepata point 3, na tumeingia last 16.....
Leo naona alikua too excited ila ingetucost kama refa angetoa penalty, Martial amecheza poa sana ingawa amepiga poor penalty.bailly lingekuwa bongo halafu linacheza ndondo sijui lingekuwaje maana liko ulaya lakini linacheza kama beki la ndondo
Bado hatujaingia. Tuna 12 points wanaotufuata wana sita. Fc Basel akitufunga akimfunga Benfica halafu CSK wakitufunga halafu wakimfunga Benfica wote watakuwa na 12 points watapita sisi tutabaki.Kijana wetu bailly alikua hana discipline leo, ila tumepata point 3, na tumeingia last 16.....
Inshu sio point inshu ni magoli ili basel na cska wapite inabidi watufunge magoli kuzidi yale tuliyowafunga kitu ambacho ni kigumuBado hatujaingia. Tuna 12 points wanaotufuata wana sita. Fc Basel akitufunga akimfunga Benfica halafu CSK wakitufunga halafu wakimfunga Benfica wote watakuwa na 12 points watapita sisi tutabaki.
Tunahitaji 1pount.
Inshu sio point inshu ni magoli ili basel na cska wapite inabidi watufunge magoli kuzidi yale tuliyowafunga kitu ambacho ni kigumu
Bado hatujaingia. Tuna 12 points wanaotufuata wana sita. Fc Basel akitufunga akimfunga Benfica halafu CSK wakitufunga halafu wakimfunga Benfica wote watakuwa na 12 points watapita sisi tutabaki.
Tunahitaji 1pount.
Mkuu imenishangaza perot kumpekenyua mwenzie madole matakoni baada ya kushinda goli la pili.Sijui kama uliiona hiiHuyu dogo El Shaarawy anachowafanya Chelsea ni Mungu anajua!
Nilishangaa mkuu, sijui wana utani gani hawa.. Maana wamechekeana tuMkuu imenishangaza perot kumpekenyua mwenzie madole matakoni baada ya kushinda goli la pili.Sijui kama uliiona hii
Hawa wazungu sijawahi kuwaelewa
Unajua maana ya 'mathematically possible' kwenye soka? Kama unajua utaekewa nasema nini. Bado hatujapita group stage.Inshu sio point inshu ni magoli ili basel na cska wapite inabidi watufunge magoli kuzidi yale tuliyowafunga kitu ambacho ni kigumu
Labda ni mtu na chakeMkuu imenishangaza perot kumpekenyua mwenzie madole matakoni baada ya kushinda goli la pili.Sijui kama uliiona hii
Hawa wazungu sijawahi kuwaelewa