



🫂



KaushaKuna siku nilisema huyi kocha ni "mjinga" watu wakanijia juu. Kuna mtu angeweza kuhisi Maguire, Dalot, Whergost wataanza leo?
Leed tumemalizana naye. We are there already.EPL sio rahisi kihivyo.
Tuweni tuu serious, tusiwe ni ushabiki kupitiliza,.
ETH amefanya kazi kubwa.
Ila bado kufikiria ubingwa msimu huu.
Hao walioko juu, huu ni msimu wa pili wako pamoja, sisi ndio kwanza tuna miezi kadhaa.
Sisi bado tunategeneza timu, na kudrop points wakati unatengeneza timu ni vitu vya kawaida kabisa.
Kufikilia ubingwa msimu huu ni kujipa pressure isiyokuwa na sababu.
@Adminis please apigwe ban huyu mtu kama alivyotakaView attachment 2514529
Kila la kheri Leeds united
MANYUMBU MISUKULE Mkipata hata droo Nipigwe BAN LA MWAKA
Wewe ni mchawi nini?Manchester inacheza leo na dunia yote ina huzuni
tumempoteza mwana Manchester mwenzetu AKA tukae kimya kwa dk moja kumuenzi
hawa ndo mashabiki sasa Mpaka wana tatoo za timu ni uzuni kwakweli kwa fans wa United wote duniani
Anyway ushindi leo lazima
Prediction
Leeds United 0 vs Manchester United 2
GGMUView attachment 2514563



Akiwa anakimbia ananifurahisha kweliWegosti hapigi nyeto kweli wakuu? Mbona ile miguu kama haina uroto
Sababu itayo fanya sabitzer hakose game dhidi ya Barcelona.Wachezaji wetu ambao watakosa game dhidi ya Barcelona.
Antonio martial injury
Antony do Santos injury
Lisandro Martinez yellow card
Marcel sabitzer yellow card
Christian ericksen injury
Scott McTominay injury
Uzuri ni kwamba casemiro ni mzima wa afya.
Itabidi tuwe kwenye ubora wa aina yake ili kukimaliza hiki kisiki salama..Hii hatari angalau tukishinda 3 out of 4 itakuwa vema zaidi.View attachment 2515865