Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

City morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu
😄😄😄 We mjamaa bwana,
Kwahiyo mtashinda mechi zote Hadi ligi inaisha?
 
[emoji1][emoji1][emoji1] We mjamaa bwana,
Kwahiyo mtashinda mechi zote Hadi ligi inaisha?
Kiuhalisia man city msimu huu yuko hovyo..
Arsenal ana ratba ngumu ila akitoboa anachukua ndoo..
Man u tunapoteza point katka mechi muhimu ndoo hatuwez kubeba, kama spurs na chelsea wakija vizur mpk mwisho wa msimu tutakua tuna compete top four
 
Gamacho Gamacho Gamacho

Tuliwaambia hakuna mchezaji pale acheni kupiga kelele

Dogo akifunga anavua Shari na mkataba akaringa kuongeza Hadi mshahara upande

Lakini wahafadhina tukasema pale hakuna mchezaji anafata njia za elanga tu
 
Bado hamuna sifa ya kugombea ubingwa mkikutana na timu zinazo press mnapoteana
Subirieni Kuna Oxford , reading, au Kila siku mcheze na kina bornamauth,forest

Ila kina Brentford,Leeds,Brighton ,fulham,astonvilla hawa muwabahatishe
 
Bado hamuna sifa ya kugombea ubingwa mkikutana na timu zinazo press mnapoteana
Subirieni Kuna Oxford , reading, au Kila siku mcheze na kina bornamauth,forest

Ila kina Brentford,Leeds,Brighton ,fulham,astonvilla hawa muwabahatishe
Kajifunze kiswahili ndo uje kufadhahika vizuri
 
Back
Top Bottom