Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

City morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu

*****
 
Kama mnajipa credit kwa mpira mliocheza dhidi ya Leeds basi mna safari ndefu sana.

Leeds ni moja kati ya timu mbovu kwa sasa kwenye EPL, ikifuatiwa na Crystal Palace, both offensively and defensively.

Hata baada ya kuongoza 2-0, sikutegemea kama wataweza kushikilia bomba mpaka mwisho, nilijua tu either watapoteza mechi au wata draw kwa namna ya uchezaji wao. Ni wabovu haswa!

Lakini nashangaa humu kuna watu wanachukulia mechi na Leeds kama kipimo. So sad! Manyumbu mnatia huruma.
Everton kamfunga arsenal, unaweza kuwabeza arsenal kisa kafungwa na everton?? Leeds ni wabovu, wametimua kocha so kocha mpya lzma aje na hamasa na morali ya wachezaji huwaga inaongezeka na hiko ndo kilichotokea jana..
Ilikua ni suprise kwa man u coz ten hag gemu aliichukulia poa sn
 
Pale hata umlete Haaland ataishia kuzurura tu. Garnacho nafasi mbili za wazi kutoa tu pasi Weghorst ingekuwa kama kumsukuma mlevi.

Hata mechi ya City pale OT, Rashford alipata nafasi mbili za wazi huku Martial akiwa eneo zuri la kufunga akafanya kama alichofanya mdogo wake jana, wao wanajali zaidi rekodi zao binafsi kabla ya timu. Sasa siku hali inapokuwa tete ndiyo mambo kama haya tunaambulia point tu.
Guardiola ndio kocha ambaye anafanya vizuri kwenye kukomesha ubinafsi kwa wachezaji kwa asilimia kubwa timu zote kwa vipindi alivyofundisha tabia hiyo ipo kwa asilimia ndogo sana na mara nyingi wachezaji wake wanapenda kupasiana hata wakiwa kwenye nafasi clear za kufunga.
 
Mkataba mpya, kobbie mainoo
1675963587148.png
 
Everton kamfunga arsenal, unaweza kuwabeza arsenal kisa kafungwa na everton?? Leeds ni wabovu, wametimua kocha so kocha mpya lzma aje na hamasa na morali ya wachezaji huwaga inaongezeka na hiko ndo kilichotokea jana..
Ilikua ni suprise kwa man u coz ten hag gemu aliichukulia poa sn
Mkuu umewaza kama mimi. Mara nyingi ni ngumu sana au ni mara chache sana kocha anayechukua nafasi ya kocha aliyetimuliwa akapoteza mechi yake ya kwanza ni nadra sana. Niliposikia Leeds wamefukuza kocha nikaanza kupata mashaka ya kuwa gemu yetu itakuwa ngumu maana tutakamiwa na wachezaji watakao pewa nafasi na kocha mpya, na ndicho kilichotokea yaan kabla hatujakaa vizuri wakafanya yao mapema ili tupaniki na hayo ni maelekezo waliyopewa nadhani na kocha wao kwamba wapate goli mapema ngoma iwe ngumu. Hata na hivyo yapaswa tuwapongeze wachezaji wetu ile ngoma jana ilikuwa tunalala na viatu.
 
Jana tuliupiga mpira mwingi sanaa, chances zilikuwa created sana, finishing yetu bado inashida, tunatengeneza nafasi nyingi lakini hakuna goli.
Leeds kwenye mashambulizi yao walitumia sanaa upande wa Dalot, alikuwa weak kwenye defensive yake, mipira mingi au naweza sema almost magoli yote yamepitia upande wake.
Fred nae aliboronga sana jana utafikiri alikula mrenda kabla ya mechi, anacheza vizuri dakika 2 alafu anazingua dakika 20.
bado United tunahitaji kiungo mwingine maana pengo la Casemiro na Eriksen linaonekana live bila chenga.
Garnacho nae miyeyusho tu, hua tunakimbiliaga kumlaumu Anthony ila huyu dogo ana kaujinga flani mara 100 ya Anthony, Sancho pamoja na kukaa nje muda mrefu ila impact yake jana ilikua kubwa sana, mechi ijayo 10 Hag inabidi amuanzishe tu kwenye 11st mambo ya fitness atayapatia humohumo dimbani.
Sambusa (Sabitzer) kidogo ndio usajili wenye afadhali tulioufanya kwenye dirisha dogo ila huyo Weghorst kusimama kule mbele hapana kama vipi arudishwe nyuma akasaidiane na kina varane tu kwenye ulinzi.
Ila yule winger wa kushoto wa Leeds Wilfred Gnonto ni Bukayo Saka mtupu halafu ndio kwanza ana miaka 19 tu, msimu ujayo itapendeza nikimuona amesajiliwa kwenye timu kubwa.
Uache kuangalia mechi za timu yako tu. Gnonto ni wa kawaida tu hadi nikashangaa jana anavyowapa shida
 
Mkuu umewaza kama mimi. Mara nyingi ni ngumu sana au ni mara chache sana kocha anayechukua nafasi ya kocha aliyetimuliwa akapoteza mechi yake ya kwanza ni nadra sana. Niliposikia Leeds wamefukuza kocha nikaanza kupata mashaka ya kuwa gemu yetu itakuwa ngumu maana tutakamiwa na wachezaji watakao pewa nafasi na kocha mpya, na ndicho kilichotokea yaan kabla hatujakaa vizuri wakafanya yao mapema ili tupaniki na hayo ni maelekezo waliyopewa nadhani na kocha wao kwamba wapate goli mapema ngoma iwe ngumu. Hata na hivyo yapaswa tuwapongeze wachezaji wetu ile ngoma jana ilikuwa tunalala na viatu.
Leeds walikua wana press sn na kucheza kwa nidham ya hali ya juuu mala nying beki zetu zilkua zinapiga back pass..
Leed walkua more intense kuliko sisi, second balls nyng walkua wana win wao..
Kipnd cha pili kidogo hali ilibadilka..
 
City morali sasa chini atacheza kumaliza ligi tuu maana yanayomkabili ni magumu kuliko kuchukua ubingwa, Arsenal ana game nyingi ngumu sana zinamsubiri sioni akitoboa, atapigwa za kutosha na kuanza kudrop point kama kawaida yake, huu ni mwaka wa MANU washindwe wao tuu
😄😄😄 We mjamaa bwana,
Kwahiyo mtashinda mechi zote Hadi ligi inaisha?
 
We mjamaa bwana,
Kwahiyo mtashinda mechi zote Hadi ligi inaisha?
Kiuhalisia man city msimu huu yuko hovyo..
Arsenal ana ratba ngumu ila akitoboa anachukua ndoo..
Man u tunapoteza point katka mechi muhimu ndoo hatuwez kubeba, kama spurs na chelsea wakija vizur mpk mwisho wa msimu tutakua tuna compete top four
 
Back
Top Bottom