K88K
JF-Expert Member
- Jul 3, 2019
- 313
- 655
Sawa, tunashinda lakini.Liwezekanalo leo usingoje kesho.
Sawa, tunashinda lakini.Liwezekanalo leo usingoje kesho.
Mimi nahisi akipewa mipira anaweza akaonyesha kituKocha na Werghost wake mimi nawacheki tu..
Kocha anafanya mambo yawe magumu yeye mwenyewe..
Jamaa hakuna anachoweza..
Sawa sawa ume eleweka.Yaani tufungwe leo kwa ajili ya mechi ya keshokutwa? Panga full mziki mkishinda goli mbili za haraka unawatoa wachezaji wako unaotaka wasiumie/wasichoke.
Kabisa mkuu jamaa hapewi mpira kabisa halafu watu wanamlaumu.Mimi nahisi akipewa mipira anaweza akaonyesha kitu.

Ana mikimbio mizuri kaa kwa kutuliaAliemuona Werghost kugusa mpira aniambie kagusa dakika ya ngapi?
Wamefanya mpira kupoa sana.Mabeki wetu daah! Wanakaa na mipira as if tunaongoza 3: 0
Hawapandishi timu asee! Kazi tunayo Kwa kweli
Kocha amuingize Martinez aseeCenter back wanaanzisha mipira taratibu sana.
Mipira ya kurudisha nyuma imekuwa mingi kupita kiasi.
Maguire ni KIMEO cha hatari
Kocha asipomtoa Magwaya,tunakufa.
Maguire ni KIMEO cha hatari