Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,936
- 3,940
Pia tusipate injury.Itabidi tuwe kwenye ubora wa aina yake ili kukimaliza hiki kisiki salama..
Pia tusipate injury.Itabidi tuwe kwenye ubora wa aina yake ili kukimaliza hiki kisiki salama..




Nimefurahi sana FRED kuwa Man of the Match. Jamaa anaupiga sana.Weghorst man of the Match
nmecheka sana hii moment jamaa anamuone fred na ushort wake anageuka nyuma anakuta jitu linamuangalia nae ashakuwa short
View attachment 2515001
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app

Darmian hii SMS unaikimbia kama vile kituo cha Polisi maana yule yule uliyempomda (Fred) ndiye kawa Man of the Match janaMechi ijayo usipomsifia Fred nimekaa pale![]()

Mchezaji akizungua game fulani ni lazima tuseme waziwazi..Darmian hii SMS unaikimbia kama vile kituo cha Polisi maana yule yule uliyempomda (Fred) ndiye kawa Man of the Match jana
FT.
Leeds Utd 0:2 Man Utd
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kazi ipo na mwamba anaubonda haswa napenda anavyofosi kupiga mashuti golini...kwaio hii game ya barca tusitarajie makubwa kwani tuko na hali ya hatari kidogoSababu itayo fanya sabitzer hakose game dhidi ya Barcelona.View attachment 2515698
Hapo itakua poa tupoteze game moja tu ya ugenini na barca kwa utofauti wa goal 1 tu halafu tushinde zinazobaki kwa goal nyingiHii hatari angalau tukishinda 3 out of 4 itakuwa vema zaidi.View attachment 2515865
Casemiro atakuwepo mzee card yake ina fanya kazi kwenye mashindano ndani ya England tu.Kazi ipo na mwamba anaubonda haswa napenda anavyofosi kupiga mashuti golini...kwaio hii game ya barca tusitarajie makubwa kwani tuko na hali ya hatari kidogo
No Ericksen
No Case
No Sabi
Mmh tusitarajie makubwa waisa kwa barca hii inayofosi magoli
Arsenal atapoteza mechi zote na Man City.
De Jong hatakiwi kusajiliwa United chezaji la kubembeleza kama demu la kishua hayafai.Ajax kama wanahisi tumewapunja pesa kwa EtH na Martinez wakate kwenye pesa ya Antony.
Hatujapigwa wazee, sisi ndiyo tumewapiga Ajax. Next summer turudi tena Amsterdam kuna watu wetu pale.
de Jong usajili wake tunamaliza tukienda Camp Nou.
Game na Barca na hiyo ya New Castle ukipigwa unapoteza kombe.Itabidi tuwe kwenye ubora wa aina yake ili kukimaliza hiki kisiki salama..
Weghorst alifanya kila kitu muhimu second half hasa alipocheza kama second striker.Nimefurahi sana FRED kuwa Man of the Match. Jamaa anaupiga sana.
Mchezaji mpiganaji ndio tunamuhitaji.De Jong hatakiwi kusajiliwa United chezaji la kubembeleza kama demu la kishua hayafai.
Ferguson aliachana Sneider kwa sababu hizi za kubembeleza ndiyo ukawa mwisho wa career yake.
Hakuna kitu mwamba alikuwa Fred tuMarcel Sabitzer vs. Leeds [match rank]:
100% tackles won []
13/13 final third passes []
2 interceptions []
The engine in midfield.
#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2515594