Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naelewa furaha ni temporary ila sio vibaya kucheka hata kwa muda haha
Screenshot_20230213_123710_Twitter.jpg
 
Sababu itayo fanya sabitzer hakose game dhidi ya Barcelona.View attachment 2515698
Kazi ipo na mwamba anaubonda haswa napenda anavyofosi kupiga mashuti golini...kwaio hii game ya barca tusitarajie makubwa kwani tuko na hali ya hatari kidogo

No Ericksen
No Case
No Sabi

Mmh tusitarajie makubwa waisa kwa barca hii inayofosi magoli
 
Kazi ipo na mwamba anaubonda haswa napenda anavyofosi kupiga mashuti golini...kwaio hii game ya barca tusitarajie makubwa kwani tuko na hali ya hatari kidogo

No Ericksen
No Case
No Sabi

Mmh tusitarajie makubwa waisa kwa barca hii inayofosi magoli
Casemiro atakuwepo mzee card yake ina fanya kazi kwenye mashindano ndani ya England tu.
 
Ajax kama wanahisi tumewapunja pesa kwa EtH na Martinez wakate kwenye pesa ya Antony.

Hatujapigwa wazee, sisi ndiyo tumewapiga Ajax. Next summer turudi tena Amsterdam kuna watu wetu pale.

de Jong usajili wake tunamaliza tukienda Camp Nou.
De Jong hatakiwi kusajiliwa United chezaji la kubembeleza kama demu la kishua hayafai.

Ferguson aliachana Sneider kwa sababu hizi za kubembeleza ndiyo ukawa mwisho wa career yake.
 
Back
Top Bottom